James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Subirini jamani mtawafanya washindwe kutuma salamu za Kuzaliwa kwa Yesu bure. Msiwatilie nongwa hao Azam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe mwenyewe hapa unaleta udini au hujaelewa tuAkisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.
Weka orodha hapa mkuuHeb piga hesabu za watangazaji wao, utaona ni 50/50,
Tuache kupakazia watu
Kuna mtu kawataja huko juu kibao, sina haya ya kurudia,Weka orodha hapa mkuu
10 vs 90Kuna mtu kawataja huko juu kibao, sina haya ya kurudia,
Kina Tido, Peter kahemele, Mpenja, Ivona, Walikuwepo kina Charles, kuna yule mdada wa Morning Trumpet, kuna yule mwalimu wa watoto, na wengine wengi,
Tuache uongo,
Wengine hao hapoKwani hiyo Azamu inamilikiwa na serikali, au mishahara ya wafanyakazi wake hulipwa na serikali, mpaka Uitake serikali iingilia kati.
Je ajira za azamu, kuna kipengele dini kuwa lazima uwe Muislamu.
Kama sifa za ajira za azamu ni Uislam, akina Tido Dustan Muhando, Dany Bandezu, Yvonna Kamuntu, Raimond Nyamwihula, na Charles Hilary, hao ni baadhi tu, ila wapo Wakristo wengi tu kwenye section zingine ndani ya Azamu, sema wewe ndiye mdini, ndiyo maana unawaza udini.
Ni aibu unajiita jina la mtu mkubwa hivo halafu huna akili hata chembe,10 vs 90
Wewe dada angu unashinda haswa, ile ni TV ya mtu binafsi hata akiweka waislamu wote wala hainihusuNi aibu unajiita jina la mtu mkubwa hivo halafu huna akili hata chembe,
Nipe official statistics za kuprove Azamtv ana wafanyakazi wengi waislam
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yemeni rahaa sana mtanii..Salama mtani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilijua upo yemen mtani....
Mm nipo kwenye uzi namsalimia braza chalamila
Hujui hata moyo wa kilichoandikwa, kama umeandika maneno unshindwaje kuyasoma?wewe mwenyewe hapa unaleta udini au hujaelewa tu
...Maria ThereziaMmh!!! Kwani huo ni udini wewe unafikiri kila mtu anajua hayo maneno ya kilatini, acha kua na fikira potofu wengi hayo maneno parokia, kaparamara, padri askofu atakuyatamka nishida, sio kila msomi alipitia sunday school, acha chuki mkuu kila mtu ana anacho jua vizuri.......
....Utawajua TU !!!...Anzisha TV yako na kanisa lako muwe mnasoma habari za kikatoliki tu ili nafsi zenu na huyo mwenye heri ziwe kwatuuu!
...SITA ndio Wengi ??? [emoji848][emoji848][emoji848]Ila upande wa Tv Azam hawana udini aisee mi naweza nikakutajia majina ya wakristo pale hadi ukachoka kuanzia asubuhi hadi jioni
Huyo labda kakosea kutokana na uwezo wake mwenyewe wa kuelewa mambo ila udini hapana Azam wakristo wengi sana
1.Hilda Foya
2.Mercy
3.Ivona
4.Tido
5.kale kajamaa kanatangaza na Foya
6.Paschal kabombe
Ni wengi sana kina Nyembela
Nasikia mnakula tende za saudia tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yemeni rahaa sana mtanii..
Mtani kwema lakini huko Tz kwa sasa????[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yemeni rahaa sana mtanii..
Salama angalia M23 wasije wakakuondoa mtani mnawaibia wacongoman rasilimali zao kupeleka rwanda 🤣.Mtani kwema lakini huko Tz kwa sasa????
Maana nipo Goma now
🤣🤣🤣🤣 na kusaga miraa.Nasikia mnakula tende za saudia tu
Yaan ashindwe kutamka "Maria Theresa?Mmh!!! Kwani huo ni udini wewe unafikiri kila mtu anajua hayo maneno ya kilatini, acha kua na fikira potofu wengi hayo maneno parokia, kaparamara, padri askofu atakuyatamka nishida, sio kila msomi alipitia sunday school, acha chuki mkuu kila mtu ana anacho jua vizuri.......