Azam, Azam Udini utawaharibia

Azam, Azam Udini utawaharibia

Kuna umuhimu wa Jamii kwa kuweka interview kwa wanachama wake....maana hata hili pia nalo kaja kufungulia Uzi..... Masikini ana roho mbaya.

Hizo ni mkakati wa biashara

Hii media ina udini sana kuanzia ajira, njoo kwenye makampuni yanayomilikiwa na mmiliki ajira zao zinazingatia watu wa dini fulani. Serikali inatakiwa kulitupia macho
Kwani hiyo Azamu inamilikiwa na serikali, au mishahara ya wafanyakazi wake hulipwa na serikali, mpaka Uitake serikali iingilia kati.
Je ajira za azamu, kuna kipengele dini kuwa lazima uwe Muislamu.

Kama sifa za ajira za azamu ni Uislam, akina Tido Dustan Muhando, Dany Bandezu, Yvonna Kamuntu, Raimond Nyamwihula, na Charles Hilary, hao ni baadhi tu, ila wapo Wakristo wengi tu kwenye section zingine ndani ya Azamu, sema wewe ndiye mdini, ndiyo maana unawaza udini.
 
Hii media ina udini sana kuanzia ajira, njoo kwenye makampuni yanayomilikiwa na mmiliki ajira zao zinazingatia watu wa dini fulani. Serikali inatakiwa kulitupia macho
Kama unatazama Azamtv utajua kabisa kuna wakrsto wengi sana, hadi moja ya wakurugenz wake Peter Kahemele ni mla kitimoto mwenzetu, kwenye udini azam media hapana bana
 
Kwani hiyo Azamu inamilikiwa na serikali, au mishahara ya wafanyakazi wake hulipwa na serikali, mpaka Uitake serikali iingilia kati.
Je ajira za azamu, kuna kipengele dini kuwa lazima uwe Muislamu.

Kama sifa za ajira za azamu ni Uislam, akina Tido Dustan Muhando, Dany Bandezu, Yvonna Kamuntu, Raimond Nyamwihula, na Charles Hilary, hao ni baadhi tu, ila wapo Wakristo wengi tu kwenye section zingine ndani ya Azamu, sema wewe ndiye mdini, ndiyo maana unawaza udini.
Kina mpenja
 
Yani hicho tu mtu mmoja kashindwa ndio unaipa kampuni nzima kashfa ya Udini Aisee bado upo nyuma sana , halafu hapa mnasema tuchague raisi bora bado sana
 
Akisoma habari kwa ufupi saa nane mchana leo, mtangazaji alijifanya kushindwa kutamka maneno "Parokia ya mwenye heri Maria Theresa..." Akaishia kusema parokia ya mwenye heri! Kama mnaona ukakasi kutamka hayo maneno si bora hiyo habari mungeipotezea kuliko kupotosha.
Azam tv ni wadini sana,hata Azam two Huwa nafuatilia sana tamthiliya zao za sa nne usiku zote zinaonesha kuwa watu wanaomwamini alah(waislamu)wakiingia kwenye vita na wasioamini(wakristo n.k)always waislamu wanashinda,udini Azam pale umeota mizizi lazima ukemewe,labda madhumuni ya kuazishwa ni kueneza dini husika basi makosa ni yetu tulionunua visimbuzi vyao
 
Azam tv ni wadini sana,hata Azam two Huwa nafuatilia sana tamthiliya zao za sa nne usiku zote zinaonesha kuwa watu wanaomwamini alah(waislamu)wakiingia kwenye vita na wasioamini(wakristo n.k)always waislamu wanashinda,udini Azam pale umeota mizizi lazima ukemewe,labda madhumuni ya kuazishwa ni kueneza dini husika basi makosa ni yetu tulionunua visimbuzi vyao
Kuna Azam one Hua wanaonyesha tamthilia za kizungu kibao
Sasa unataka waoneshe Spartacus ili muone watu wakitiana eboh
Kwa hiyo Ni watanzania wangapi wamesilimu baada ya kuangalia hizo tamthilia za Udini?
 
Azam tv ni wadini sana,hata Azam two Huwa nafuatilia sana tamthiliya zao za sa nne usiku zote zinaonesha kuwa watu wanaomwamini alah(waislamu)wakiingia kwenye vita na wasioamini(wakristo n.k)always waislamu wanashinda,udini Azam pale umeota mizizi lazima ukemewe,labda madhumuni ya kuazishwa ni kueneza dini husika basi makosa ni yetu tulionunua visimbuzi vyao
Mkuu kama kisimbuzi unacho cha Azam naomba uniuzie kwa bei poa nikupe cha startimes na dstv niko serious mkuu.
 
Imekupungizia nini katika maisha yako? Potezea tu mambo mengine siyo muhimu sanaa kwenye maisha.
 
Back
Top Bottom