Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa taarifa yako ACHA MARA MOJA KUCHANGANYA ENERGY DRINK NA POMBEKALI.Pombe kali tutachanganyia nini sasa 😁
RedbullPombe kali tutachanganyia nini sasa 😁
Kuna mshikaji wangu ngoja nimwambie juu ya hili, hii ndio mixer yake kwenye mambo yetu.Huu mchezo ulisababisha nikahisi moyo unabomoa kifua ili utoke nje.
From that day, nilikoma kutumia azam kupunguza ukali wa (mixer) machozi ya simba
Mbona kama hisabati inakataaRedbull
Imefungiwa kisirisiri?Kwa wasambazaji wa vinywaji mjini Dar es Salaam
Bodaboda wanazipenda na MOVijana watajipooza koo na nn? Maana hiki ndo kinywaji chao pendwa.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
MO Extra sio energy..Mo alishawahi kusema, tangu azaliwe hajawahi kunywa Mo energy.
Mtu akipewa kazi ya kuchimba mtaro tu lazima anywe mo energy.,huko masaiti ndio usiseme.
Unaweza kudhani kuna kiwanda humo saiti
🤣Bado juice ya miwa
Pale utakapoana tatizo ndo ujue it's too lateAzam energy nimeinywa toka 2016 mpaka leo sijaona tatizo
Hizi ndo kiki kama zile za NOVIDA kusemekana eti ina virusi vya ebola
Okay let's wait and seePale utakapoana tatizo ndo ujue it's too late
Aisee hii ni hatariNa Watu wengine waliodhurika na hayo mafuta ya kula yenye sumu kuna taarifa kwamba wamepofuka macho, wamekuwa vipofu na hawaoni tena.
😺😺😺Pombe kali tutachanganyia nini sasa 😁