Azam FC 1-2 Yanga SC|| Uwanja wa Chamazi|| NBC Premier League

Hii mechi mpaka hapa imekuwa ngumu kwa azam
 
Hii mechi haikosi red card ,refa Ana vijihasira flani,mechi imekuwa kubwa kwake
Huyu Mwinchui hataki mchezo kabisa!! Ila mwisho wa siku maombi yangu naomba yaende kwa Azam fc.

Kati ya Aggrey Morris na Mudathir mmoja wao akila umeme, hakika tutapata unafuu mkubwa. Maana hakuna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…