KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Magoli anayofunga MAYELE inadhihirisha ubora hafifu wa mabeki katika ligi yetu.,....Mayele anajua kamwe hawezi kutetema kwa Inonga Baka Verane mutu ya kazi [emoji6]
Nimpe hongera mtani kwa kuchanja mbuga......