Azam FC 1-2 Yanga SC|| Uwanja wa Chamazi|| NBC Premier League

Azam FC 1-2 Yanga SC|| Uwanja wa Chamazi|| NBC Premier League

Umeongea vizuri sana
Mwaka huu Yanga atachukua ubingwa. Umakini wa Prof Nabi na maboresho ya kikosi yameongeza ari.

Simba pamoja na ubora wa kikosi lakini tulianza ovyo mno na sasa tunasubiri timu dhaifu zilizobaki zimsimamishe kitu ambacho kwa ari ya Yanga ni ngumu sana labda kwa miujiza ya soka.
 
Bangala benchi. Aucho injured. Feisal injured. Farid injured

Bado Yanga anapata points 3 nyumbani kwa Azam.

Sasa kama majeruhi yameshindwa, nani ataweza?
Kasoro refa sio injured
 
Mkuu hata UEFA timu zinafungwa tatu nne hadi tano wakati mwingine hadi saba hivyo mpe heshima yake Mayele..
Mtani unahitaji walau misimu miwili kuchukua ubingwa mfululizo ili ujenge kikosi cha ushindani kimataifa. Mwaka wenu huu [emoji3]
 
Mwaka huu Yanga atachukua ubingwa. Umakini wa Prof Nabi na maboresho ya kikosi yameongeza ari.

Simba pamoja na ubora wa kikosi lakini tulianza ovyo mno na sasa tunasubiri timu dhaifu zilizobaki zimsimamishe kitu ambacho kwa ari ya Yanga ni ngumu sana labda kwa miujiza ya soka.
Tarehe 30 ndio Yanga inataka kutangaza ubingwa rasmi kwa kuwapa kichapo makolo.

Usisahau Mayele atakuwepo.😄😄
 
Un beaten wakati mnabebwa? Wangekuwa ndio Simba wamefanyiwa hivyo mngeita ptess conference na kutishia kususia ligi
Huu ushabiki wenu watanzania umepita viwango vya FIFA. Yaani sioni shabiki wa Simba anayeongelea Penati ya Wazi na Kadi ya Aggrey Morris.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Ila Utopolo mmebebwa mpaka aibu..huyu Refa sijui mmempa sh ngapi!!li Manara linajifanya kulalamika watu kupendelewa wakati yenyewe ndio inabebwa.. shenxi kabisaaa
Ww mpira ulisimuliwa Aggrey Morris kashika mpira makusudi ambao Mayele alikuwa ana ucheza kwa kichwa,ilikuwa straight red card.
 
Ndio ni mchezaji bora lakini ligi yetu pia dhaifu. How mfungaji kama huyo unapigwa mpira uliokufa alafu yupo free? Alipaswa kuwa na mtu ambaye assignment yake muda kama huo ni man to man.

Kafunga goli chache za kutumia akili na nguvu lakini nyingi ni poor defence za timu nyingi zinakutana na mtu makini kama yeye. Huyu angekuwa enzi zile za kukaba hadi kivuli kama akina Salum Kabunda achomoki
Huna akili wewe Benzema kashatupia mbili huko ina maana UEFA ni ligi dhaifu?
 
Tunaomba shabiki mmoja wa simba amgawie mayele mke ikiwezekana na watoto kabisa ili afurahie kua Tanzania
 
Back
Top Bottom