Azam FC 1-2 Yanga SC|| Uwanja wa Chamazi|| NBC Premier League

Azam FC 1-2 Yanga SC|| Uwanja wa Chamazi|| NBC Premier League

Refa ana hatari huyu hii mbeleko ya chuma aliyowabebea vyura itawaumiza mbeleni,
Ila mnaupiga mwingi Watani poa tu mmejitahidi sana!

Keleeeee Kwa vyuraaaaaaaaaaa!

Athletico de Utopolo of Jang Wani!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji91][emoji91][emoji91]
Tehe tehe tehe haya kwenye ile ramli yenu nani saa hii amebaki wa kuwasaidia kuwazuia Yanga?
 
Unbeaten...go go Young Africans, I love you Yanga[emoji172][emoji617][emoji169]
Un beaten wakati mnabebwa? Wangekuwa ndio Simba wamefanyiwa hivyo mngeita ptess conference na kutishia kususia ligi
 
Ndio ni mchezaji bora lakini ligi yetu pia dhaifu. How mfungaji kama huyo unapigwa mpira uliokufa alafu yupo free? Alipaswa kuwa na mtu ambaye assignment yake muda kama huo ni man to man.

Kafunga goli chache za kutumia akili na nguvu lakini nyingi ni poor defence za timu nyingi zinakutana na mtu makini kama yeye. Huyu angekuwa enzi zile za kukaba hadi kivuli kama akina Salum Kabunda achomoki
Mkuu hata UEFA timu zinafungwa tatu nne hadi tano wakati mwingine hadi saba hivyo mpe heshima yake Mayele..
 
Mwaka huu Yanga atachukua ubingwa. Umakini wa Prof Nabi na maboresho ya kikosi yameongeza ari.

Simba pamoja na ubora wa kikosi lakini tulianza ovyo mno na sasa tunasubiri timu dhaifu zilizobaki zimsimamishe kitu ambacho kwa ari ya Yanga ni ngumu sana labda kwa miujiza ya soka.
 
Ndio ni mchezaji bora lakini ligi yetu pia dhaifu. How mfungaji kama huyo unapigwa mpira uliokufa alafu yupo free? Alipaswa kuwa na mtu ambaye assignment yake muda kama huo ni man to man.

Kafunga goli chache za kutumia akili na nguvu lakini nyingi ni poor defence za timu nyingi zinakutana na mtu makini kama yeye. Huyu angekuwa enzi zile za kukaba hadi kivuli kama akina Salum Kabunda achomoki
Mtazamo ww ni miongoni mwa watu wanaoheshimika humu JF ushabiki usikuondolee credibility uliyonayo
 
Back
Top Bottom