Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diarra ni kipa wa Singida? Au Yanga imekukaa sana kichwani.KIBU DE MTOMBANGILE YUPO KIBOKO Y diara mchumia tumbo
Jitu la hovyo sana lile jamaa.Lile dubwana lenye tumbo pale tfff linaumiza sana huu mpira
Hivi muda wake unaisha lini?Jitu la hovyo sana lile jamaa.
Wakumbushwe kwani hawajui hizi taratibu mkuu, hao wenzao waliopeleka vibali wamekumbushwa na nani?? Tukubali tu hivi vilabu vyetu vikuu kuna mambo ya msingi wana miss kazi kushindana nani wa kwanza kufanya hili nani wa kwanza kufanya lile, inatia hasira kwa kweli.Lakini, kwanini TFF wanatoa hii taarifa few hours kabla ya mechi? Naamini walikuwa na muda wa kuvikumbusha hivi vilabu hata kwa wiki moja kabla.
Ni kwel viongoz wa hiz timu zetu wanazingua sana lakin huyu ambaye ndio baba wa mpira tff kwann asitoe huu waraka wake wa ki ma.ku toka juzi ili sisi mashabiki tuwamaind viongozi wetu???Wakumbushwe kwani hawajui hizi taratibu mkuu, hao wenzao waliopeleka vibali wamekumbushwa na nani?? Tukubali tu hivi vilabu vyetu vikuu kuna mambo ya msingi wana miss kazi kushindana nani wa kwanza kufanya hili nani wa kwanza kufanya lile, inatia hasira kwa kweli.
Majina hayo ambayo hayajapelekwa TFF kwaniaba ya NGAO si ndio majina hayo hayo TFF kayapeleka CAF!!???
Kwa nini vilab vikumbushwe?? Vyenyewe havijui wajibu wake??Lakini, kwanini TFF wanatoa hii taarifa few hours kabla ya mechi? Naamini walikuwa na muda wa kuvikumbusha hivi vilabu hata kwa wiki moja kabla.