Azam FC pekee ndiyo inaruhusiwa kutumia wachezaji wa kigeni Ngao ya Jamii

Azam FC pekee ndiyo inaruhusiwa kutumia wachezaji wa kigeni Ngao ya Jamii

Wananchi kwa maana ya Wanachama walishamchoka Feisal, na walitaka aondoke, labda kama unawazungumzia Viongozi ambao ni watu wa kupita.
Umejihami mapema, maana ninayo nukuu ya kiongozi wa Yanga jinsi alivyofanya juhudi kumbakisha Feisal
 
Umejihami mapema, maana ninayo nukuu ya kiongozi wa Yanga jinsi alivyofanya juhudi kumbakisha Feisal
Sasa wewe unazungumzia Viongozi, kwani mm nimesema nini...!?

Nimesema kama unazungumzia Viongozi sawa, ila Wananchi kwa maana ya Mashabiki walishamchoka Feisla walitaka aondoke!

Hakunaga Mchezaji ama Kocha popote pale akabaki salama kama Wanachama hawamtaki tena!
 
Back
Top Bottom