Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Watakatiwa rufaa mapema tuJioni ya leo hao akina Skudu na wenzake watacheza tuš¤£
Soka letu kivyetuvyetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakatiwa rufaa mapema tuJioni ya leo hao akina Skudu na wenzake watacheza tuš¤£
Soka letu kivyetuvyetu
Ikitokea wakakaidi na kuwachezesha kanuni za hizi mechi za NGAO YA JAMII zikoje ? Adhabu yake nn? au wametoa kujifurahisha tu?
Sio wananchi tena? šYanga ndo Serikali.
Sasa kwanini wanajisumbua kutoa taarifa kama hizi?kututisha amakuwavuta watu kwenye ngaoUtashaangaa ikifika saa kumi wanatoa tangazo lingine kuwa,vibali vimewafikia,wachezaji wameruhusiwa kucheza
We hujui Tanzania š¹šæ ? Nao waonekane wanafanya kazi na wako seriousSasa kwanini wanajisumbua kutoa taarifa kama hizi?kututisha amakuwavuta watu kwenye ngao
Wananchi ndo wenye Serikali.sio wananchi tena? š
Saa kumi mbona mbali? Tayari huko.Utashaangaa ikifika saa kumi wanatoa tangazo lingine kuwa,vibali vimewafikia,wachezaji wameruhusiwa kucheza
Hahahahahahaha,Saa kumi mbona mbali? Tayari huko.View attachment 2712561
Mkiambiwa TFF inahujumu baadhi ya timu muwe mnaelewa.Lakini, kwanini TFF wanatoa hii taarifa few hours kabla ya mechi? Naamini walikuwa na muda wa kuvikumbusha hivi vilabu hata kwa wiki moja kabla.
TFF ni wajinga fulani hivi,hawana ubavu huo, we subiri mpira jioniSasa kwanini wanajisumbua kutoa taarifa kama hizi?kututisha amakuwavuta watu kwenye ngao
Acha kujifariji, mambo yanaamriwa juu serikalini, wananchi wanafuata tu wapende wasipendeWananchi ndo wenye Serikali.
Kama mchezaji alikuwa nacho cha kuanzia mwaka jana kiko valid na kiliwasilishwa mwaka jana kipo hapo Tifuatifua ni uvivu tu wa kina Karai.Kama ni kweli, Basi uongozi wa hizi timu hauko serious kabisa.
Wananchi waligoma kumuachia Feisal, serikali ikatoa amri. Sasa sijui bado unaamini wananchi ndio wenye serikali!Wananchi ndo wenye Serikali.
Sasa hapo hilo dubwaana lina kosa gani ? Kwani viongozi wa hivi vilabu walikuwa hawajui kwamba wachezaji wao wanahitaji vibali ili wacheze?Lile dubwana lenye tumbo pale tfff linaumiza sana huu mpira
Lakini, kwanini TFF wanatoa hii taarifa few hours kabla ya mechi? Naamini walikuwa na muda wa kuvikumbusha hivi vilabu hata kwa wiki moja kabla.
Nenda tena kwenye Page ya TFF sasa hivi... Nilisema Yanga ndo Serikali, hutaki unaacha.Acha kujifariji, mambo yanaamriwa juu serikalini, wananchi wanafuata tu wapende wasipende