redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Nimeona taarifa sasahivi saa 7 na dk 43 mchana Azam tv dondoo za michezo, Yanga wamesha kamilisha taratibu zote za vibali vya wachezaji wa kigeni.Nenda tena kwenye Page ya TFF sasa hivi... Nilisema Yanga ndo Serikali, hutaki unaacha.