Azam FC yamtambulisha FEI TOTO, asaini mkataba wa miaka mitatu, afafanua fedha alizochangiwa na wadau



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye Utopolo Wameupyata Mkia. Ubwabwa na Juice ya Ikulu imewaponza.
 
Azam fc nilikuwa nawapa sana credit. Ila kwa uhuni walioufanya kwa huyu dogo na pia kwa klabu ya Yanga; hakika nimewadharau sana.

Maana wangetumia njia kama hii ya mazungumzo, wala huyu dogo asingekaa miezi 6 nje ya uwanja.
 
Kwa hiyo yanga hizi akili walikua hawana..mpaka waambiwe....na kupewa instructions na mama???Yaani mpaka wasemwe kama watoto...
Hongera kwake Fei...kapigania alichoona kinafaa kwa utashi wake...angekuwa ni nidhamu ya uwoga na unafiki angebaki analalamika tu...bila chochote.Bila shaka hakujua wapi atatokea....
 
Akiwa Azam ataitwa, Feisal salum ibn Al abdallah Al rahman.

akiwa yanga ataitwa, fei Toto. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Kikubwa asome vyema mkataba ikiwezekana wauandike kwa kipemba asome mstari kwa mstari...
Fei anajua kusoma basi. Kama KKK tu ya shule ya msingi aliambulia sifuri kila somo, ndiyo aweze kuusoma na kuuelewa mkataba ulioandikwa na mwanasheria msomi?
 
Azam fc nilikuwa nawapa sana credit. Ila kwa uhuni walioufanya kwa huyu dogo na pia kwa klabu ya Yanga; hakika nimewadharau sana.

Maana wangetumia njia kama hii ya mazungumzo, wala huyu dogo asingekaa miezi 6 nje ya uwanja.
Mmewaita Azam ili ionekane mme mmuza akat ametoka km vile akivyotakaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eti dau haliwekwi wazi, ni 112M woiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…