Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Unadhan utopolo wangekubal kumuuza???Azam fc nilikuwa nawapa sana credit. Ila kwa uhuni walioufanya kwa huyu dogo na pia kwa klabu ya Yanga; hakika nimewadharau sana.
Maana wangetumia njia kama hii ya mazungumzo, wala huyu dogo asingekaa miezi 6 nje ya uwanja.
Uliza ya jikoni kaka, usilolijua ni sawa na usiku wa gizaYees, Yanga kabaki njia kuu na option zake alizotoa, Azam wametoa ofa mezani na ikajadiliwa wakaweka mpunga mezani case closed, ule uhuni waliotaka kuufanya wasirudie tena itakuja kuwacost siku moja na wamshukuru Rais otherwise fei toto angeishia pabaya!
Wangetumia njia halali wasingempata kwa bei waliyompatiaAzam fc nilikuwa nawapa sana credit. Ila kwa uhuni walioufanya kwa huyu dogo na pia kwa klabu ya Yanga; hakika nimewadharau sana.
Maana wangetumia njia kama hii ya mazungumzo, wala huyu dogo asingekaa miezi 6 nje ya uwanja.
Kwa taarifa yako fei kaondoka bure, hiyo 270 hata yanga wenyewe hawajaisemaUna akili timamu wewe?, Kutoka 100M mpaka 270m yanga ndio wameufyata?.
Utindio wa ubongo huu sasa?!Kwa taarifa yako fei kaondoka bure, hiyo 270 hata yanga wenyewe hawajaisema
uongo tu umekujaaUliza ya jikoni kaka, usilolijua ni sawa na usiku wa giza
Uongo wangu ni upi? Ikiwa yanga wamesema dau ni siri hao wanaosema 270M wameitoa wapi?uongo tu umekujaa
Kumbe mzee wa mubashara wewe ni uto? Pole sana mwamba, turudi chimbo tukamuibue Fei mwingine tuwanyamazishe hawa vidomodomo 🤣😂🤣Tunamshukuru kwa Muda wake na mchango wake katika klabu yetu
Hakuna mkubwa kuliko club, Kila la heri huko kwenye changamoto mpya
Atakuja mchezaji mwingine kama au zaidi ya Fei, ni suala la muda tuKumbe mzee wa mubashara wewe ni uto? Pole sana mwamba, turudi chimbo tukamuibue Fei mwingine tuwanyamazishe hawa vidomodomo [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Na wameshinda ivyo ivyo gizaniAzam ndio walikuwa wanamrubuni huyu mtoto…ila mchezo walikuwa wanaucheza gizani
Yeah, ila naona ni win win situation sababu mchezaji hajaenda bure, na katika sababu moja wapo Yanga walichokuwa wanakitaka ni team inayomtaka itoke hadharani na sio kuzunguka gizani kumrubuni...Na wameshinda ivyo ivyo gizani