Azam hiki mlichokifanya kwa Fei Toto ndicho mlitakiwa mkifanye kabla na sio kutaka kupitia mlango wa nyuma

Azam hiki mlichokifanya kwa Fei Toto ndicho mlitakiwa mkifanye kabla na sio kutaka kupitia mlango wa nyuma

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Ni dhahiri sasa kwa heshima ya kùmheshimu Mama yanga wamemuuza rasmi Feisal Salum kwa Azam fc kwa makubaliano maalum ya kimkataba, na atatambulishwa muda wowote kuanzia sasa, jambo hili ndilo lilitakiwa lifanywe na azam kabla ya kutaka kupitia mlango wa nyuma na kutaka kumpata kwa bei ya kitonga, isingewezekana ata kidogo.

Wameweka mpunga na jambo limekamilika aluta continua mapambano yanaendelea!
 
Ni dhahiri sasa kwa heshima ya kùmheshimu Mama yanga wamemuuza rasmi Feisal salum kwa Azam fc kwa makubaliano maalum ya kimkataba, na atatambulishwa muda wowote kuanzia sasa, jambo hili ndilo lilitakiwa lifanywe na azam kabla ya kutaka kupitia mlango wa nyuma na kutaka kumpata kwa bei ya kitonga, isingewezekana ata kidogo,
Wameweka mpunga na jambo limekamilika aluta continua mapambano yanaendelea!
Sijui kwanini walishindwa kwenda front mpaka likawa zengwe cha msingi liishie
 
Una uhakika wameweka mpunga wowote? Waweke pesa yoyote ya maana wakati wanajua Yanga wamepewa shinikizo kulimaliza suala lake? Sanasana ambacho mnaweza kuwa mmeambulia ni ile ile milioni 100 mliyopewa mwanzo mkairudisha.
 
c9759281-0547-4ed6-862c-e5ca1e3db9b3.jpg
 
Ni dhahiri sasa kwa heshima ya kùmheshimu Mama yanga wamemuuza rasmi Feisal salum kwa Azam fc kwa makubaliano maalum ya kimkataba, na atatambulishwa muda wowote kuanzia sasa, jambo hili ndilo lilitakiwa lifanywe na azam kabla ya kutaka kupitia mlango wa nyuma na kutaka kumpata kwa bei ya kitonga, isingewezekana ata kidogo,
Wameweka mpunga na jambo limekamilika aluta continua mapambano yanaendelea!
Baadae atakuja ibukia Mbumbumbu FC Pusha FC Punda FC Bwimbwi FC.
 
Una uhakika wameweka mpunga wowote? Waweke pesa yoyote ya maana wakati wanajua Yanga wamepewa shinikizo kulimaliza suala lake? Sanasana ambacho mnaweza kuwa mmeambulia ni ile ile milioni 100 mliyopewa mwanzo mkairudisha.
Acha wehu wewe, usiwe na mihemko inayokuzidi kwa vitu usivyovijua wala kuelewa, Azam wameweka pesa si chini ya 350milioni kuvunja mkataba wake, habari ndiyo iyo!
 
Back
Top Bottom