Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Last born wa Taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Last born wa Taifa
azam na fei karma itawatafunaNi dhahiri sasa kwa heshima ya kùmheshimu Mama yanga wamemuuza rasmi Feisal Salum kwa Azam fc kwa makubaliano maalum ya kimkataba, na atatambulishwa muda wowote kuanzia sasa, jambo hili ndilo lilitakiwa lifanywe na azam kabla ya kutaka kupitia mlango wa nyuma na kutaka kumpata kwa bei ya kitonga, isingewezekana ata kidogo.
Wameweka mpunga na jambo limekamilika aluta continua mapambano yanaendelea!
pesa ni lazima hakuna shinikizo la bureUna uhakika wameweka mpunga wowote? Waweke pesa yoyote ya maana wakati wanajua Yanga wamepewa shinikizo kulimaliza suala lake? Sanasana ambacho mnaweza kuwa mmeambulia ni ile ile milioni 100 mliyopewa mwanzo mkairudisha.
Hivi hersi msomali eh?Wazanzibari 3 ,Tanganyika 1 ,Somalia 0.
Wazanzibari wameshinda Mama,Azam na Fei Toto.
Huyo Hersi msomali kapata zero.
Msomali huyo,sema wasomali wanajua kukamata fursa.Wanashine sana hapa Tanganyika,kuliko hata wazawa wenyewe.Hivi hersi msomali eh?
Si ndiyo ile milioni 110. Kumbuka pia mkataba unamruhusu kuuvunja mwishoni mwa msimu na msimu ndiyo huu unaisha.pesa ni lazima hakuna shinikizo la bure
haiwezekani aondoke unavyodhani wewe yanga wamemuuza kwa azam japo kwa mkopo azam watalipa deni hilo kwa awamu 2 na tayari yanga wanachukua mtu azam ambae amekataa kuendelea huko azamSi ndiyo ile milioni 110. Kumbuka pia mkataba unamruhusu kuuvunja mwishoni mwa msimu na msimu ndiyo huu unaisha.
Ninaona uwezekano mkubwa kwa Feisal kuondoka bila kulipa hata hiyo milioni 100 maana mlishaingiza siasa za kulipana fadhila na kulishana ubwabwa.
Feisal na siyo Yanga ndiyo ameshika mpini kwenye hili suala. Kesi ipo CAS, kesi ipo Ikulu, kuna majadiliano tena hapo?haiwezekani aondoke unavyodhani wewe yanga wamemuuza kwa azam japo kwa mkopo azam watalipa deni hilo kwa awamu 2 na tayari yanga wanachukua mtu azam ambae amekataa kuendelea huko azam
Ningependa acheze siku hiyokwahiyo tar 12 kwenye fianali atakuwepo!? Basi sawa.
AahaaaaaaMakubaliano ya kimkataba waliyopewa azam ni ngumu kumuuza ndani ya nchi endapo watataka option ni kumuuza nje ya nchi na sio vinginevyo!
Clause nzuri sana hii,kongole Kwa Yanga Kwa kuona mbaliMakubaliano ya kimkataba waliyopewa azam ni ngumu kumuuza ndani ya nchi endapo watataka option ni kumuuza nje ya nchi na sio vinginevyo!
Azam ya Mzanzibari, feitoto Mzanzibari na Samia Mzanzibari. Hakika hawa jamaa kwa kubebana hàtuwaweziNi dhahiri sasa kwa heshima ya kùmheshimu Mama yanga wamemuuza rasmi Feisal Salum kwa Azam fc kwa makubaliano maalum ya kimkataba, na atatambulishwa muda wowote kuanzia sasa, jambo hili ndilo lilitakiwa lifanywe na azam kabla ya kutaka kupitia mlango wa nyuma na kutaka kumpata kwa bei ya kitonga, isingewezekana ata kidogo.
Wameweka mpunga na jambo limekamilika aluta continua mapambano yanaendelea
MrangHivi hersi msomali eh?
GSM nae mzanzibarAzam ya Mzanzibari, feitoto Mzanzibari na Samia Mzanzibari. Hakika hawa jamaa kwa kubeba hàtuwawezi
Hapo waongezee na ile 12 ya mishahara ya miezi mitatu ambayo ndio 112m azam inadaiwa walimpa fei ili akavunje mkataba.Una uhakika wameweka mpunga wowote? Waweke pesa yoyote ya maana wakati wanajua Yanga wamepewa shinikizo kulimaliza suala lake? Sanasana ambacho mnaweza kuwa mmeambulia ni ile ile milioni 100 mliyopewa mwanzo mkairudisha.
Hawezi kuwepo sababu taratibu za usajili zinakuwa hazijakamilika badokwahiyo tar 12 kwenye fianali atakuwepo!? Basi sawa.
CAS hakwenda, na amshukuru Samia. Huyu dogo angekamuliwa Kinyesi!!Feisal na siyo Yanga ndiyo ameshika mpini kwenye hili suala. Kesi ipo CAS, kesi ipo Ikulu, kuna majadiliano tena hapo?
Nilijua lazima uje ubisheUna uhakika wameweka mpunga wowote? Waweke pesa yoyote ya maana wakati wanajua Yanga wamepewa shinikizo kulimaliza suala lake? Sanasana ambacho mnaweza kuwa mmeambulia ni ile ile milioni 100 mliyopewa mwanzo mkairudisha.