Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
NilichangaAcha waongee waliochanga,wewe unaumia nini na pesa walizochanga wengine wakati hukutoa hata shilingi mia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NilichangaAcha waongee waliochanga,wewe unaumia nini na pesa walizochanga wengine wakati hukutoa hata shilingi mia?
Acha waongee waliochanga,wewe unaumia nini na pesa walizochanga wengine wakati hukutoa hata shilingi mia?
Mtashangaa na ardhi hamtopata,mtaambiwa tayari mlishapewa ardhi kule Kigamboni mwende mkaendeleze huko.Usicheze na mamlaka.Ombi la Mh. Raisi ni agizo, tuko tayari kumpoteza ata Mayele lakini tupewe uwanja Kariakoo, tujenge a State of Art Stadium. Mtakuja kujua hamjui
Kusema ukweli ni chuki?Hersi alimwambia Fei arudi kwao Pemba, hapo ni sawa?Au na wewe ni msomali ?Dada una chuki kubwa mno mno,
Cha kushangaza Simba wanazomewa eti Fei hajatua Msimbazi licha ya kumchangia pesa za kwenda CAS......😂😂Ingekua ndo Simba imemnunua pasingekalika mjini..
Hizi timu zinatuletea uchizi...Cha kushangaza Simba wanazomewa eti Fei hajatua Msimbazi licha ya kumchangia pesa za kwenda CAS......😂😂
Feisali saizi hata akisema ile 112M niliitumia bado mkataba unaweza kuvunjikaSi ndiyo ile milioni 110. Kumbuka pia mkataba unamruhusu kuuvunja mwishoni mwa msimu na msimu ndiyo huu unaisha.
Ninaona uwezekano mkubwa kwa Feisal kuondoka bila kulipa hata hiyo milioni 100 maana mlishaingiza siasa za kulipana fadhila na kulishana ubwabwa.
walilikoroga tungewanywesha huku tukiwasindikizia na mibao ya uso ***** zao,wametoa hawajatoa sasa!!!Ni dhahiri sasa kwa heshima ya kùmheshimu Mama yanga wamemuuza rasmi Feisal Salum kwa Azam fc kwa makubaliano maalum ya kimkataba, na atatambulishwa muda wowote kuanzia sasa, jambo hili ndilo lilitakiwa lifanywe na azam kabla ya kutaka kupitia mlango wa nyuma na kutaka kumpata kwa bei ya kitonga, isingewezekana ata kidogo.
Wameweka mpunga na jambo limekamilika aluta continua mapambano yanaendelea!
Wanadhani hii hali iliyowakuta hatuwezi kuisoma. Ile 112M Yanga wenyewe wanamwambia Feisal wala asijali kuirudisha maana wanajua mambo yao ya kumwambia watamrudisha Pemba zimeshamfikia Mama.Feisali saizi hata akisema ile 112M niliitumia bado mkataba unaweza kuvunjika
Yani stage tuliyofikia saizi ni kwamba Feisali ndio anaombwa ili hilo zoezi lifanikiwe
Kajengeni hiyo state of the art stadium kule kigamboni kwenye uwanja mliopewa na makondaOmbi la Mh. Raisi ni agizo, tuko tayari kumpoteza ata Mayele lakini tupewe uwanja Kariakoo, tujenge a State of Art Stadium. Mtakuja kujua hamjui
Hii ni Win to Win Situation.Mama Yanga Aliposema Tu Mnataka Ardhi Acheni Huyo Feisal Aende Atakapo Yanga Wamefyata Mikia Kimya Pumzi Imeisha Yote
Yaap mshindi ni Fei wamemuuza Kwa 270mKapoteza Ego,alishawahi mjibu Fei aende Pemba.Pia Hersi alikuwa amekamia kumkomesha Fei.Sasa Fei kashinda.
Sasa yeye alitaka aachiwe bure.Yaap mshindi ni Fei wamemuuza Kwa 270m
Fei si alikuwa aanagoma kuja HQ kujadiri sualaa lake, sasa imekuwaje akakubali kuja.Kapoteza Ego,alishawahi mjibu Fei aende Pemba.Pia Hersi alikuwa amekamia kumkomesha Fei.Sasa Fei kashinda.
Alikuwa anagoma kuja alijua adui yake mkuu ndo rais wa Yanga,hapo ni dhahiri kuwa asingepata hitaji lake.Kwa vile No 1 wa nchi kasema,no way Msomali kasalimu amri.Fei si alikuwa aanagoma kuja HQ kujadiri sualaa lake, sasa imekuwaje akakubali kuja.
Si ndio yeye aliye andikiwa barua kukaribishwa mezani ili mazungumzo yaanze...?
Hivi nyie hivi vipengele huwa mnaviokota wapi?Makubaliano ya kimkataba waliyopewa azam ni ngumu kumuuza ndani ya nchi endapo watataka option ni kumuuza nje ya nchi na sio vinginevyo!