Mr Leo
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 604
- 1,269
Karma gani boss?azam na fei karma itawatafuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karma gani boss?azam na fei karma itawatafuna
Don't be easily manipulated.... Usiamini mapema kwasababu kilichoandikwa kinakufurahishaClause nzuri sana hii,kongole Kwa Yanga Kwa kuona mbali
Tangu jana anatuimbia hizi ngonjera zake za 350M,wakati tunajua fika katika hili Yanga baada ya 'ombi' la Mama hiyo jeuri hawakuwa nayo tena zaidi ya kumwachia kwa masharti nafuu kabisa.Eti milioni 350, ili msimuache kinyonge mnaanza kutajataja tu figaz. Manasahau mlisema bila bilioni 1 haondoki.
SawaDon't be easily manipulated.... Usiamini mapema kwasababu kilichoandikwa kinakufurahisha
Acha ushirikina wakoYule dogo keshapotea kwenye ulimwengu wa soka! Yanga ukiondoka kiwango unakiacha pale pale! Hawezi kurudi tena katika ule ubora aliokuwa nao!
Kushinda ni kushinda tu,haijalishi ni kwa mbeleko au kwa mbinu nyingine.Kikubwa ameshinda na amepata alichokitaka nacho ni kuondoka Jangwani na ngebe za Hersi za kutaka kumkomoa zimefail.Kashinda kwa mbeleko ya mama kutoka Zenj! Angeachwa aende CAS tuone mwisho wake!
Hiyo ndiyo inaondoa usomali wake?Kasoma Dit ujue huyo
HapanaHiyo ndiyo inaondoa usomali wake?
Hongera kwa feitoto,Mungu amtangulie, finally dogo ataanza Kula baga badala ya ugali na sukari🔥🔥Kushinda ni kushinda tu,haijalishi ni kwa mbeleko au kwa mbinu nyingine.Kikubwa ameshinda na amepata alichokitaka nacho ni kuondoka Jangwani na ngebe za Hersi za kutaka kumkomoa zimefail.
Acha waongee waliochanga,wewe unaumia nini na pesa walizochanga wengine wakati hukutoa hata shilingi mia?Kama hii taarifa ni kweli vipi kuhusu michango yetu, ndo tumezimwa au??
Au kisa sisi ni changachanga fc ndo Feidogo akatumia hilo gape tumchangie??
Uwanja tulichanga Holaa, Feidogo tumemchangia nae anatuingiza cha kike.
Si unajua tena utopoloni wenye akili ni wawili tu; mimi na jkEti milioni 350, ili msimuache kinyonge mnaanza kutajataja tu figaz. Manasahau mlisema bila bilioni 1 haondoki.
Wamepata 112M kulingana kifungu cha mkatabaa.Una uhakika wameweka mpunga wowote? Waweke pesa yoyote ya maana wakati wanajua Yanga wamepewa shinikizo kulimaliza suala lake? Sanasana ambacho mnaweza kuwa mmeambulia ni ile ile milioni 100 mliyopewa mwanzo mkairudisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazanzibari 3 ,Tanganyika 1 ,Somalia 0.
Wazanzibari wameshinda Mama,Azam na Fei Toto.
Huyo Hersi msomali kapata zero.
Achaa uongo hajauzwaa, mkataba wake umevunjwa kulingana na kanuni zilizopo ndani ya mkataba huo.haiwezekani aondoke unavyodhani wewe yanga wamemuuza kwa azam japo kwa mkopo azam watalipa deni hilo kwa awamu 2 na tayari yanga wanachukua mtu azam ambae amekataa kuendelea huko azam
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alitaka kujifanya yeye ndiyo mfumo kisa yuko pale Yanga kwa mgongo wa Boss wake Ghalib akajisahau kuwa kwao ni Mogadishu.Wenye mamlaka wametoa 'ombi' moja tu,msomali chali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ng'eng'enge[emoji1787][emoji1787]kiko wapi?kiko wapiiii?msomali hawezi mshinda raia hata siku moja[emoji120]pyee utopolo kimelala kwenu[emoji2506][emoji1733]