Azam hiki mlichokifanya kwa Fei Toto ndicho mlitakiwa mkifanye kabla na sio kutaka kupitia mlango wa nyuma

Azam hiki mlichokifanya kwa Fei Toto ndicho mlitakiwa mkifanye kabla na sio kutaka kupitia mlango wa nyuma

Makubaliano ya kimkataba waliyopewa azam ni ngumu kumuuza ndani ya nchi endapo watataka option ni kumuuza nje ya nchi na sio vinginevyo!
Jinga kubwa wewe ,mkataba Gani huu ,kwahiyo hata ruvu shooting asiuzwe

Je,ikitokea kashuka kiwango Azam hawamuhitaji ,watampeleka wapi au yeye ikitokea zengwe na Azam alkitaka kutimukia dodoma jiji ,itakuwaje .....

Mkataba lazima uwe na sehemu yakutokea bwana
 
Eti milioni 350, ili msimuache kinyonge mnaanza kutajataja tu figaz. Manasahau mlisema bila bilioni 1 haondoki.
Tumeongea naye mpaka mwisho,, ndio maana mnaambiwa msiogope bei, ongea una shin ngapi???
 
Hizi ndizo akili za wajinga, Hersi kapoteza nini labda tueleze
Siyo swala la pesa,Hersi na wachawi wote wa Yanga ukiwemo wewe mlikuwa mnamuombea Fei apotee kabisa kwenye ramani ya soka duniani, hivyo roho zenu mbaya zimeshindwa,mama kategua hila na mtego wenu.
 
Si ndiyo ile milioni 110. Kumbuka pia mkataba unamruhusu kuuvunja mwishoni mwa msimu na msimu ndiyo huu unaisha.

Ninaona uwezekano mkubwa kwa Feisal kuondoka bila kulipa hata hiyo milioni 100 maana mlishaingiza siasa za kulipana fadhila na kulishana ubwabwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Makubaliano ya kimkataba waliyopewa azam ni ngumu kumuuza ndani ya nchi endapo watataka option ni kumuuza nje ya nchi na sio vinginevyo!
Yaani umnunue mchezaje wa hapo zanzibar then umpangie masharti?
 
Acha wehu wewe, usiwe na mihemko inayokuzidi kwa vitu usivyovijua wala kuelewa, Azam wameweka pesa si chini ya 350milioni kuvunja mkataba wake, habari ndiyo iyo!
Feisal ametoa pesa ile ile mliyoikataa mwanzo .Kwanza kabisa mlitaka abaki,dogo akazidi kuweka ngumu hatimae mkakubali yaishe akaweka 112M
 
Wazanzibari 3 ,Tanganyika 1 ,Somalia 0.

Wazanzibari wameshinda Mama,Azam na Fei Toto.
Huyo Hersi msomali kapata zero.

Alitaka kujifanya yeye ndiyo mfumo kisa yuko pale Yanga kwa mgongo wa Boss wake Ghalib akajisahau kuwa kwao ni Mogadishu.Wenye mamlaka wametoa 'ombi' moja tu,msomali chali.
 
Una uhakika wameweka mpunga wowote? Waweke pesa yoyote ya maana wakati wanajua Yanga wamepewa shinikizo kulimaliza suala lake? Sanasana ambacho mnaweza kuwa mmeambulia ni ile ile milioni 100 mliyopewa mwanzo mkairudisha.
Shinikizo? Ameweka nani hilo shinikizo?
 
Siyo swala la pesa,Hersi na wachawi wote wa Yanga ukiwemo wewe mlikuwa mnamuombea Fei apotee kabisa kwenye ramani ya soka duniani, hivyo roho zenu mbaya zimeshindwa,mama kategua hila na mtego wenu.
Yule dogo keshapotea kwenye ulimwengu wa soka! Yanga ukiondoka kiwango unakiacha pale pale! Hawezi kurudi tena katika ule ubora aliokuwa nao!
 
Tumeongea naye mpaka mwisho,, ndio maana mnaambiwa msiogope bei, ongea una shin ngapi???
Jana nilileta mkeka wa pesa mliyopokea kutoka serikalini kwa kipindi cha miezi hii 6 iliyopita na inafika hiyo milioni 350 mnayoitaja sasa. Kwa hiyo kliichofanyika ni kukumbushana tu na kuambiwa hambinywi katika biashara zenu. Haihitaji kuwa jiniasi kuelewa kilichokuwa kifuate.
 
Back
Top Bottom