Azam hiki mlichokifanya kwa Fei Toto ndicho mlitakiwa mkifanye kabla na sio kutaka kupitia mlango wa nyuma

kwahiyo tar 12 kwenye fianali atakuwepo!? Basi sawa.
Labda aje kuangalia. Maana akijaribu kucheza ataishia kutapika tu urojo wote aliokunywa ndani ya miezi yake sita ya kuishi mafichoni.
 
Makubaliano ya kimkataba waliyopewa azam ni ngumu kumuuza ndani ya nchi endapo watataka option ni kumuuza nje ya nchi na sio vinginevyo!
Sio Tanzania hii, hakuna namna Yanga wanaweza kucontrol maisha ya Fei wakishaachana nae.
 
haiwezekani aondoke unavyodhani wewe yanga wamemuuza kwa azam japo kwa mkopo azam watalipa deni hilo kwa awamu 2 na tayari yanga wanachukua mtu azam ambae amekataa kuendelea huko azam
Yanga "wanachukua" ?

[emoji23]
 
Kapoteza Ego,alishawahi mjibu Fei aende Pemba.Pia Hersi alikuwa amekamia kumkomesha Fei.Sasa Fei kashinda.
Fei si alikuwa aanagoma kuja HQ kujadiri sualaa lake, sasa imekuwaje akakubali kuja.

Si ndio yeye aliye andikiwa barua kukaribishwa mezani ili mazungumzo yaanze...?.........
 
Una uhakika wameweka mpunga wowote? Waweke pesa yoyote ya maana wakati wanajua Yanga wamepewa shinikizo kulimaliza suala lake? Sanasana ambacho mnaweza kuwa mmeambulia ni ile ile milioni 100 mliyopewa mwanzo mkairudisha.
Binti Kazumari kazini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Roho yako mbaya itakuuwa wewe. Kwa taarifa yako watu washakunja mkwanja wao na biashara imefungwa, wewe endelea kupinga wala hata haikusaidii lolote
 
Kwa taarifa yako labda nikutoe tongo tongo machoni, dau walilokamuliwa Azam kuvunja mkataba ni 270milioni, akuna vya bure kama mlivyotegemea, iyo 112 unayosema wewe labda wakamnunue chama uko kwenu!
 
azam fc washawahi kusajili toka YANGA wachezaji km NGASSA na DOMAYO, leo hii unawafundisha kusajili
 
Kwa taarifa yako labda nikutoe tongo tongo machoni, dau walilokamuliwa Azam kuvunja mkataba ni 270milioni, akuna vya bure kama mlivyotegemea, iyo 112 unayosema wewe labda wakamnunue chama uko kwenu!
Hilo tongo tongo jitoe mwenyewe utopolo.
Yanga hawajapokea 270m unayodai ww ndio maana wameamua kupiga kimya na kutotangaza sababu ni aibu kilichotokea.
Na hata kama Azam tungetoa 270m basi hiyo ni pesa ndogo sana ukilinganisha na thamani ya Fei toto..
NARUDIA TENA 270M HAIJATOKA
 
Uongo mtupuuu, hajauzwaaaa.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]wamemtoa Bure wamefidia zile gharama za wali na ndege[emoji4]?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…