Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
Kwamba wakitoka 20 kwenda 30 watu watalia hivyo wanaisogeza polepole. Baada ya hapo 25. Mara 30 hii hapaTarget yao cha 20,000 kifike 30,000
Kwa lipi hasa, ndio huu mpira wa Namungo na Mbeya Kwanza?Target yao cha 20,000 kifike 30,000
Sio mbaya mbn Bia zikipanda bado mnakunywaNdugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000.
Vita ya Urusi na Ukraine inatuonyesha mambo.
Kwa taarifa yako bia zimeporoka bei usipime ! Mbagala serengeti buku tuSio mbaya mbn Bia zikipanda bado mnakunywa