Azam kupandisha bei za vifurushi kuanzia tarehe 1 Aprili, 2022

Bani Israel

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2016
Posts
1,775
Reaction score
3,593
Ndugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000.

Vita ya Urusi na Ukraine inatuonyesha mambo.
 
Nimepokea ujumbe kutoka Azam kupitia simu yangu kuwa bei za vifurushi zitapanda kuanzia tarehe 1 April.

"Ndugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000." Azam Tv.

Vv
 
Huyu mzee anatamaa za ki k sana, yaani kashindwa kubuni miradi mingine mpk atunyonye huku?anajiona sijui,MAMA tusaidie hawa matajiri wanaanza kutumaliza
 
Ndugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000.

Vita ya Urusi na Ukraine inatuonyesha mambo.
Sio mbaya mbn Bia zikipanda bado mnakunywa
 
Na kile cha 35,000 kimekuaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…