Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mzee SSB.... Kazi na iendeleeNdugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000.
Vita ya Urusi na Ukraine inatuonyesha mambo.
Weee utakuwa fisadi tu.... sio Mzalendo... pia sio Mnyonge.... hii nchi ni yetu sie wanyongeNa kile cha 35,000 kimekuaje?
Itakuwa hakuna jipya,maana ilikuwa elf 23 kabla ya kushuka 20.......Ndugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000.
Vita ya Urusi na Ukraine inatuonyesha mambo.
Kwanini? Kifurushi cha juu kilikuwa 35 ndo nauliza imekuaje au hakipo tena? Msg waliyotuma haielewekiWeee utakuwa fisadi tu.... sio Mzalendo... pia sio Mnyonge.... hii nchi ni yetu sie wanyonge
"Kazi Iendelee"Nimetumiwa sms na AzamTv muda si mrefu kuwa kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi kwanzia mwezi April.
Kifurushi pendwa cha 20,000 sasa kitakuwa 23,000.
View attachment 2162605
View attachment 2162607
View attachment 2162608
Mama Na Mzee wanatoka kumoja (sijui wapi), Mpaka Mzee anaamua kupandisha hivi ana baraka zote za Mama yake au Wasaidizi wa Mama yake. Ki ukweli kama nchi tuko kwenye wakati mgumu sana kipindi hiki, Mungu atunusuru tu.Huyu mzee anatamaa za ki k sana,yaani kashindwa kubuni miradi mingine mpk atunyonye huku?anajiona sijui,MAMA tusaidie hawa matajiri wanaanza kutumaliza
Sio mbaya mbn Bia zikipanda bado mnakunywa
Shida zote za nini izi!Nimetumiwa sms na AzamTv muda si mrefu kuwa kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi kwanzia mwezi April.
Kifurushi pendwa cha 20,000 sasa kitakuwa 23,000.
View attachment 2162605
View attachment 2162607
View attachment 2162608