The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwamba kwa sasa kila mtu anafanya anachojiskia sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kile cha 28,000?Nimepokea ujumbe kutoka Azam kupitia simu yangu kuwa bei za vifurushi zitapanda kuanzia tarehe 1 April.
"Ndugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000." Azam Tv.
Vv
TakbiiirNdugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000.
Vita ya Urusi na Ukraine inatuonyesha mambo.
Nimecheka 😁😁😁😁,bado nao watalalamika 🤣🤣🤣Hicho kifurushi cha buku ni cha katuni au [emoji2]
Ilishaongeza ndio maana wamepandisha,ni matokeo ya tozo haya.serikali iongeze na makato
Ndy mfanye hivyoHawana Akili, watakosa hela za Vifurushi na badala yake watu wataenda kwenye vibanda umiza na maisha yataenda.
Hawajafanya tafiti kabisa kwenye hili.
Watu wamekuwa watumwa tu
Watumwa kabisaKitu kizuri kuhusu Watanzania, watalalamika huku wanaendelea kulipia.
Mfano: Tozo
Sisi tunaotumia visimbuzi vya Azam vya Kenya tulishakutana na hali hiyo toka mwezi uliopitaHii ni taarifa tuliyo tumiwa watumiaji wa king'amuzi cha Azam. Kuanzia tarehe 01/04/2022 bei ya malipo itabadilika. Na hivyo sisi watumiaji wa kile kifurushi pendwa cha elfu 20, itatulazimu kuongeza elfu 3 nyingine! Yaani tutaanza kulipa (23,000/=) kika mwezi!
Na ikumbukwe ni miaka michache tu walipandisha kutoka elfu 18, mpaka kufikia elfu 20! Sasa sijui sababu ni za kiuendeshaji, kuongezeka kwa kodi/tozo kutoka serikalini, au ni kwa sababu ya vita vya Urusi dhidi ya Ukraine!
Hakika Watanzania tutanyooka kwenye awamu hii ya Mama! Maana kila kitu bei juu! Halafu hakuna anayejali eti! 🤔
Vifurushi vingine vitakavyo pandishwa hiyo tarehe 01/04/2022 ni kile cha elfu 13, na sasa kitakuwa elfu 15! Cha elfu 4, kitakuwa elfu 5! Na cha mia 8, kitakuwa elfu 1!
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania......Kazi iendelee...✍️
Sisi tunaotumia visimbuzi vya Azam vya Kenya tulishakutana na hali hiyo toka mwezi uliopita
Ndio maana walisaini miaka 10, sababu ya mambo yao kama haya....
Ila wajue tu, ikiisha hiyo watakuwa kwenye wakati mgumu.
Kwa lipi hasa, ndio huu mpira wa Namungo na Mbeya Kwanza?