Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ujinga mwanaume kulalamikia ongezeko la 3000 kwa mwezi
Utakuwa unalelewa bado. Kua tu utayakuta mkuu.Ni ujinga mwanaume kulalamikia ongezeko la 3000 kwa mwezi
Mama yako ananilea, hivyo niheshimuUtakuwa unalelewa bado. Kua tu utayakuta mkuu.
Hao wengine wanakuhusu nini? We naye anzisha yakoWacha tulalamike bhana! Maana sisi ndiyo watafutaji. By the way, hakuna hela ndogo!
Na usisahau hiyo elfu 3 ni ya mimi peke yangu! Tukilipa wateja laki 1 kiasi cha @elfu 3, utapata figure tofauti kabisa!
Unafikiri ukimtaja 'mama' ndo inakuwaje....in short utakuwa sio tu mjinga bali FALA flani hivi amazing. Ukikua utaacha. Endelea kugongea chakula cha kengele.Mama yako ananilea, hivyo niheshimu
Hao wengine wanakuhusu nini? We naye anzisha yako
Jamaa utafikiri yeye anaishi majuu kumbe yumo humu humu na yeye kajazwa makasiriko na hizi bei za vitu. Anajitoa sana ufahamu.Mbona kama una hasira vile! Mimi pamoja na hao wengine ni wateja wa Azam. Hivyo ni jambo la kawaida kabisa kuwashirikisha.
Jamaa utafikiri yeye anaishi majuu kumbe yumo humu humu na yeye kajazwa makasiriko na hizi bei za vitu. Anajitoa sana ufahamu.
Tafuta Pesa wenye DSTV wasemaje?Hii ni taarifa tuliyo tumiwa watumiaji wa king'amuzi cha Azam mapema leo tarehe 24/03/2022 kupitia ujumbe mfupi kwenye simu. Kuanzia tarehe 01/04/2022 bei ya malipo itabadilika. Na hivyo sisi watumiaji wa kile kifurushi pendwa cha elfu 20, itatulazimu kuongeza elfu 3 nyingine! Yaani tutaanza kulipa (23,000/=) kika mwezi!
Na ikumbukwe ni miaka michache tu walipandisha kutoka elfu 18, mpaka kufikia elfu 20! Sasa sijui sababu ni za kiuendeshaji, kuongezeka kwa kodi/tozo kutoka serikalini, au ni kwa sababu ya vita vya Urusi dhidi ya Ukraine!
Hakika Watanzania tutanyooka kwenye awamu hii ya Mama! Maana kila kitu bei juu! Halafu hakuna anayejali eti! 🤔
Vifurushi vingine vitakavyo pandishwa hiyo tarehe 01/04/2022 ni kile cha elfu 13, na sasa kitakuwa elfu 15! Cha elfu 4, kitakuwa elfu 5! Na cha mia 8, kitakuwa elfu 1!
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania......Kazi iendelee...✍️
Probably, yeye akishika limoti na miguu juu anaona kayapatia hajui watu wamevuja jasho kuvilipia. Wangapi hawalipii ving'amuzi wakidai ni anasa kumbe ni msoto tu.....sembuse waje waambiwe tena vifurushi vimepanda si ndio watang'oa na madishi kabisa.Labda atakuwa hajaingia kwenye maisha ya kujitegemea. Maana anayachukulia maisha kwa wepesi sana. Kwake elfu 3 ni ndogo eti!
Hajui mteja atatakiwa kuilipa kila mwezi! Na bado kuna bili nyingine nyingi za kulipa. Mfano Luku, maji, kodi ya pango, ada, nauli, matumizi ya nyumbani, nk.
Tafuta Pesa wenye DSTV wasemaje?
Kifurushi cha dstv cha 21,000/ ni bora kuliko azam 23,000/. Pia bei ya dstv ni 59000/ huku azam ana 250,000/ na hana maajabu saana.Tafuta Pesa wenye DSTV wasemaje?
Hakuna kitu kizuri kuanzia 51,000 ndio utaenjoy kidogoKifurushi cha dstv cha 21,000/ ni bora kuliko azam 23,000/. Pia bei ya dstv ni 59000/ huku azam ana 250,000/ na hana maajabu saana.
Kwahivyo Mkuu hatuna maajabu yoyote yaani...?!Halafu hawana maajabu ni hiyo ligi ya bongo tu
Kwahivyo Mkuu hatuna maajabu yoyote yaani...?!
Ukitoa NBC League hawana kipya kwa kweliHalafu hawana maajabu ni hiyo ligi ya bongo tu
Kwani kilipopanda from 18l to 20k ilikuwa awamu ipi!?Hii ni taarifa tuliyo tumiwa watumiaji wa king'amuzi cha Azam mapema leo tarehe 24/03/2022 kupitia ujumbe mfupi kwenye simu. Kuanzia tarehe 01/04/2022 bei ya malipo itabadilika. Na hivyo sisi watumiaji wa kile kifurushi pendwa cha elfu 20, itatulazimu kuongeza elfu 3 nyingine! Yaani tutaanza kulipa (23,000/=) kika mwezi!
Na ikumbukwe ni miaka michache tu walipandisha kutoka elfu 18, mpaka kufikia elfu 20! Sasa sijui sababu ni za kiuendeshaji, kuongezeka kwa kodi/tozo kutoka serikalini, au ni kwa sababu ya vita vya Urusi dhidi ya Ukraine!
Hakika Watanzania tutanyooka kwenye awamu hii ya Mama! Maana kila kitu bei juu! Halafu hakuna anayejali eti! [emoji848]
Vifurushi vingine vitakavyo pandishwa hiyo tarehe 01/04/2022 ni kile cha elfu 13, na sasa kitakuwa elfu 15! Cha elfu 4, kitakuwa elfu 5! Na cha mia 8, kitakuwa elfu 1!
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania......Kazi iendelee...[emoji3578]
Dstv 59k, Azam 210kSet moja ya azam ni sawa na tatu za dstv, wakati wanazidiwa ubora