Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejiuliza pia!!Kwa lipi hasa, ndio huu mpira wa Namungo na Mbeya Kwanza?
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Watz wengine kulalamika tu hata iongezeke 100 watapiga kelele na pengine wao hawana hata hivo TV
Meajiriwa wa SSB??sio mbaya sana ndugu zangu,sio ongezeko kuubwa la mtu mwenye kupambana kushindwa kumudu kulipa,tena kuna kifurushi mpaka cha buku.
Ni mtazamo tu.ifurushi vipo kulingana na uwezo wako.Meajiriwa wa SSB??
Na 8000 Kwa mwezi kitakuwa sh ngapi?Ndugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000.
Vita ya Urusi na Ukraine inatuonyesha mambo.
Kwani ungesema tu kuwa uko Kenya ungepungukiwa na nini mpaka uzunguke hivi kwa kupitia Mada ya Kuhusu Kupanda kwa Vifurushi vya Azam? Miswahili bhana....!!!!!!!Sisi tunaotumia visimbuzi vya Azam vya Kenya tulishakutana na hali hiyo toka mwezi uliopita
Kwanini unamlazimisha aseme....unafikiri itakuondolea upoyoyo?Kwani ungesema tu kuwa uko Kenya ungepungukiwa na nini mpaka uzunguke hivi kwa kupitia Mada ya Kuhusu Kupanda kwa Vifurushi vya Azam? Miswahili bhana....!!!!!!!
Ndiyo umeamua uje na hii ID? Hujiamini?Kwanini unamlazimisha aseme....unafikiri itakuondolea upoyoyo?
Iangalie vizuri hiyo ID....then ulitazame swali lako upya.Ndiyo umeamua uje na hii ID? Hujiamini?
Tuendelee kuvumilia, sababu utaambiwa ni vita ya Urusi na Ukraine😂😂😂 kama vile wao ndio wamezuia sattelite signals vileHii ni taarifa tuliyo tumiwa watumiaji wa king'amuzi cha Azam mapema leo tarehe 24/03/2022 kupitia ujumbe mfupi kwenye simu. Kuanzia tarehe 01/04/2022 bei ya malipo itabadilika. Na hivyo sisi watumiaji wa kile kifurushi pendwa cha elfu 20, itatulazimu kuongeza elfu 3 nyingine! Yaani tutaanza kulipa (23,000/=) kika mwezi!
Na ikumbukwe ni miaka michache tu walipandisha kutoka elfu 18, mpaka kufikia elfu 20! Sasa sijui sababu ni za kiuendeshaji, kuongezeka kwa kodi/tozo kutoka serikalini, au ni kwa sababu ya vita vya Urusi dhidi ya Ukraine!
Hakika Watanzania tutanyooka kwenye awamu hii ya Mama! Maana kila kitu bei juu! Halafu hakuna anayejali eti! 🤔
Vifurushi vingine vitakavyo pandishwa hiyo tarehe 01/04/2022 ni kile cha elfu 13, na sasa kitakuwa elfu 15! Cha elfu 4, kitakuwa elfu 5! Na cha mia 8, kitakuwa elfu 1!
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania......Kazi iendelee...✍️