Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Kwangu mimi Startimes ni bora kwa kilakitu kuliko Azam tv. Startimes naangalia ligi nyingi mno (Italy kupitia K24, Spain mechi zote, Bundesliga mechi zote, Caf Champions League, Caf confederation cup, Championship ESPN, Super league ya Uturuki ESPN, Italy Cup, n.k) na yote hayo ni kwa 21k tu!!!
Kifupi Azam kwangu ni upotevu wa pesa na hakuna content ya maana, karibuni Startimes.
Kifupi Azam kwangu ni upotevu wa pesa na hakuna content ya maana, karibuni Startimes.