AZAM MEDIA tafuteni njia nzuri za kurecord mechi katika uwanja wa UHURU, angle mnazo-record ni za ovyo

AZAM MEDIA tafuteni njia nzuri za kurecord mechi katika uwanja wa UHURU, angle mnazo-record ni za ovyo

View ilikua mbaya nanlile pira papatu papatu la makolo me niliishia half time tu kuangalia mpira
 
Ivi mnaangalia usiku wa TUNZO, AZAM MEDIA ni wa hovyo,
View mbovu, sauti hovyo, watangazaji hovyo.
🙌
 
TUNZO za Filamu, Sina hamu na mpira.
Kanji kanipa kichapo heavy
Yanga timu nisiyoipenda ulimwenguni imeshinda na mpira mzuri.
Ahaa. Usibeti kwa mapenzi yako binafsi, beti kwa uhalisia wa mechi. Hivi bado wanatengeneza filamu nchi hii?
 
Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matangazo yenu mubashara kutoka uwanja wa UHURU na kuangalia angles mnazorikodi mechi kwa camera zenu na kugundua kuwa hazimpi mtazamaji wa matangazo yenu ya mpira katika uwanja wa uhuru uwezo wa kuona mechi vizuri.

Wito wangu kwa kampuni ya AZAM MEDIA ni kuwa muongeze idadi ya camera katika uwanja wa UHURU na pia mjitahidi kuweka camera zitakazorikodi kutoka juu ili tuuone uwanja katika ukubwa wake kama mechi za EPL na ligi nyingine barani ulaya.

Leo hii nadhani idadi ya camera zinazotumika kurecord matangazo mubashara ya mechi kati ya Simba dhidi ya Kagera Sugar hazizidi tatu na hakuna camera ya juu hata moja.
Nilimwuliza Mkurugenzi wa Azam TV kwa nini wanatuletea matangazao ya hovyo akaniambia kuwa Uwanja wa Uhuru unatazamana na kambi za jeshi kwa hiyo Jeshi linawazuia waseelekeza kamera zao kuliko kambi, ndiyo maan kamera hizo zinatazama upande mmoja tu. Nikawelewa.
 
Back
Top Bottom