Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ile kauli ya afuate matakwa ya mkataba unadhani maana yake nini? Kwani Yanga walipokuwa wanawaambia mfuate mkataba mlikuwa mnasema nini??Ndo maisha Yalivyo, Yanga Acheni nogwa...
Azam hawana Mpango wa Kumng'ang'ania Dube Kama Yanga walivyofanya kwa Fei toto....!