Azam mmeweka channel nyingi sana za kidini za akina kuhani Gregory,Koses na Rogatusi

Mkuu ulisoma shule gani?
 
naongezea bado kodi wanayo kusanya na kulipa ni kubwa sana inawalipa walimu madwa nk hili uwe kafiri shariti uwe na chuki hata kama huna sababu ya kuchukia nchii hakuna kafiri alie ajiri vijana wengi kama hao wanao wachukia
Sorry, wew ni me au ke?
 
we ving,amz via azam achana navio tu nunua ngano maji sukari hata kodi analipa kubwa sana utamfaidi azam kwa njia hizo
Nan ameongelea ngano na sukari
 
Wafuga majini mna maneno sana
weka picha ya hayo majini yano abudiwa,uelewa wako mdogo hili uwe mlokole au muabudu sanamu au kumuabu kiume yesu badala ya kumuabudu mungu wa kweli lazina upitie kwa hayo majidi hao wakina wanao jiita manabii na mitume wanatumia nguvu za kiza(majini) kaa nahuo ujinga wako
 
Wapi nimewachukia wakati ni wakwe wangu pia
chuki chuki chuki udini udini mnataka nasie tuwe kama nyiyi tuungane kumuabudu yesu mwana wa mariyamu hali ya kuwa huyo sio mungu na mamake sio mama wamugu chuki yenu iko hapo
 
Hao wenye hizo channel wanalipia hela nyingi kurusha matangazo yao via Azam decorder
 
Jeuri ya afya. Mzee dunia tunapita kaa chin mtafute mgonjwa uone anavyo tafuta faraja kwa channel za din iwe islam au kristo.
Sasa anatafuta faraja ya kazi gani badala afurahie kwamba Yuko karibu kurudi kwa muumba wake akafurahie milele na milele.
 
Mkuu

Hujaziona WRM,ARISE AND SHINE,HOPE CHANELS, UPENDO TV,EMMANUEL TV NA NYINGINE NYINGI!

NENDA OTHER CHANELLS KUNA HADI JEHOVA WITNESS BROADCASTING,HADI BETHEL TV!

USIMUONEE BABU WA WATU!

NAKUPA SIRI MOJA!

MZEE BAHKRESSA NDIO MUWEKEZAJI PEKEE BORA MWENYE ASILI YA ASIA AMBAYO TANZANIA IMEWAHI KUPATA!!SIDAHANI KAMA KUNA MWINGINE ZAID YA HUYU!

WENGINE WENGI JANJA JANJA NYINGI MKUU!!!

MIMI NAIOMBEA AZAM IJE IRUSHE EPL SIKU MOJA!TUTOKE KWENYE UTUMWA WA DSTV,YAANI NI BORA AZAM WAKAINGIA UBIA NA CANAL SPORTS TUKALIPA HATA 40000/=TUKACHEKI EPL HATA KWA KIFARANSA KULIKO UTOPOLO WA DSTV UNAOENDELEA!
 
Unakiponda kuwa kinachukiwa wakati takwimu zinaonyesha ina wateja zaidi ya mara 4 ya DSTV yani kinaifuata startimes
Usikurupuke kujibu comment yangu kindezi uwe unasoma ikiwezekana mshirikishe mumeo ndio mje na mawazo yenye nyama kuwasilisha hoja yako
 
Usikurupuke kujibu comment yangu kindezi uwe unasoma ikiwezekana mshirikishe mumeo ndio mje na mawazo yenye nyama kuwasilisha hoja yako
Kumbe umeolewa? Nilidhani wewe mjane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…