Azam mnaenda kuharibu Mchezo wa Ngumi. Watu wakishaona haya maigizo mara mbili tatu wanaachana na Huu Upuuzi

Azam mnaenda kuharibu Mchezo wa Ngumi. Watu wakishaona haya maigizo mara mbili tatu wanaachana na Huu Upuuzi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Sisi wapenzi halisi wa ngumi tunachukizwa na Upuuzi na dharau ambazo wanazifanya Azam katika mchezo wa Ngumi. Huu si mchezo wa Maigizo. Mtakuja sababisha mtu adhurike au afe ulingoni.

Lakini pia hiyo tabia kuna watu wataacha kabisa kufuatilia mchezo wa ngumi. Sababu inaonekana kabisa mnamtengeneza Mandonga kwa kudhani mna upromote mchezo. Kumbe mnaua mchezo. Muulizeni Liquid.. yu wapi sasa? Watu watafikia hatua watadharau kila kitu.

Huu ni mchezo serious ufanyeni uwe serious please. Msilete maigizo kwenye mchezo wa ngumi. Si tayali mnazo tamthiliya nyingi tu? Zinatosha. Mchezo huu upeni heshima yake watu tutaupenda.
 
Sisi wapenzi halisi wa ngumi tunachukizwa na Upuuzi na dharau ambazo wanazifanya Azam katika mchezo wa Ngumi. Huu si mchezo wa Maigizo. Mtakuja sababisha mtu adhurike au afe ulingoni.

Lakini pia hiyo tabia kuna watu wataacha kabisa kufuatilia mchezo wa ngumi. Sababu inaonekana kabisa mnamtengeneza Mandonga kwa kudhani mna upromote mchezo. Kumbe mnaua mchezo. Muulizeni Liquid.. yu wapi sasa? Watu watafikia hatua watadharau kila kitu.

Huu ni mchezo serious ufanyeni uwe serious please. Msilete maigizo kwenye mchezo wa ngumi. Si tayali mnazo tamthiliya nyingi tu? Zinatosha. Mchezo huu upeni heshima yake watu tutaupenda.
Azam wanahusika vipi? Wao ndio marefa?
 
Sisi wapenzi halisi wa ngumi tunachukizwa na Upuuzi na dharau ambazo wanazifanya Azam katika mchezo wa Ngumi. Huu si mchezo wa Maigizo. Mtakuja sababisha mtu adhurike au afe ulingoni.

Lakini pia hiyo tabia kuna watu wataacha kabisa kufuatilia mchezo wa ngumi. Sababu inaonekana kabisa mnamtengeneza Mandonga kwa kudhani mna upromote mchezo. Kumbe mnaua mchezo. Muulizeni Liquid.. yu wapi sasa? Watu watafikia hatua watadharau kila kitu.

Huu ni mchezo serious ufanyeni uwe serious please. Msilete maigizo kwenye mchezo wa ngumi. Si tayali mnazo tamthiliya nyingi tu? Zinatosha. Mchezo huu upeni heshima yake watu tutaupenda.
Naunga mkono bandiko lako ila haujalielekeza sehemu sahihi. Azam ni wadhamini na waandaaji lakini hawahusiki na maamuzi ya ulingoni. Lawama zielekezwe moja Kwa moja kwa referee wa mchezo.
 
Huu Uzi bila picha ya mandonga mtu kazi Ni chai[emoji28]
ea2e622220ba42b6aca97089ff513270.jpg
 
Sure mi mwenyewe nimechukia unaletaje maigizo kwenye suala la afya, halafu tena mnalipa uzito wa mchezo wa mwisho kabla ya pambano kuu
Wanaleta Upuuzi mwingi mpaka wanatukera sisi watu wazima tunaoufahamu huu mchezo. Na huyu Mandonga hajajua athari ambayo anaweza kuipata na hizo pesa asizifaidi. Wanajaribu kumjenga kipuuzi sana wamtumie kupiga pesa.
 
Naunga mkono bandiko lako ila haujalielekeza sehemu sahihi. Azam ni wadhamini na waandaaji lakini hawahusiki na maamuzi ya ulingoni. Lawama zielekezwe moja Kwa moja kwa referee wa mchezo.
Wanahusika. Mwamuzi anafanya kwa maelekezo. Lengo ni kumjenga Mandonga waendelee kumtumia kupata pesa. Huu mchezo unafanyuwa maigizo bob. Watu wa ndani wanaelezea kuwa sasa inakoeleka watauua huu mchezo na kuufanya uonekane ni comedy tu.
 
Wanaleta comedy katika mambo ya msingi...Pia wale wapiga porojo (Wana-sihasa ndani ya ulingo wapungue) , yule naibu waziri wa uwekezaji alijisahau kabisa akajua analihutubia bunge pale. Mbona wenzetu wazungu hawana porojo mingi.
 
Wanaleta comedy katika mambo ya msingi...Pia wale wapiga porojo (Wana-sihasa ndani ya ulingo wapungue) , yule naibu waziri wa uwekezaji alijisahau kabisa akajua analihutubia bunge pale. Mbona wenzetu wazungu hawana porojo mingi.
Ukosefu wa Elimu na akili. Wataharibu huu mchezo kwa kuleta mambo ya kipuuzi. Wanasiasa wa nini kwenye michezo?
 
Back
Top Bottom