Azam mnaenda kuharibu Mchezo wa Ngumi. Watu wakishaona haya maigizo mara mbili tatu wanaachana na Huu Upuuzi

Azam mnaenda kuharibu Mchezo wa Ngumi. Watu wakishaona haya maigizo mara mbili tatu wanaachana na Huu Upuuzi

Sisi wapenzi halisi wa ngumi tunachukizwa na Upuuzi na dharau ambazo wanazifanya Azam katika mchezo wa Ngumi. Huu si mchezo wa Maigizo. Mtakuja sababisha mtu adhurike au afe ulingoni.

Lakini pia hiyo tabia kuna watu wataacha kabisa kufuatilia mchezo wa ngumi. Sababu inaonekana kabisa mnamtengeneza Mandonga kwa kudhani mna upromote mchezo. Kumbe mnaua mchezo. Muulizeni Liquid.. yu wapi sasa? Watu watafikia hatua watadharau kila kitu.

Huu ni mchezo serious ufanyeni uwe serious please. Msilete maigizo kwenye mchezo wa ngumi. Si tayali mnazo tamthiliya nyingi tu? Zinatosha. Mchezo huu upeni heshima yake watu tutaupenda.
Kuna siku niliandika hapa mara tu baada ya mandonga kupigwa pambano la kwanza na kupata umaarufu yanga walimchukua awe icon yao pia.

Nilisema kwa vile hawa utopolo wameamchukua ili watafute sifa kama ilivyo kawaida yao,ataanza kushinda kimchongo mchongo na kweli pambano lililofuata alishinda kimchongo mchongo.

Pambano hili,ni la mchongo ule ule.Gsm abakize haya mambo kwenye mpira huku mtu atauliwa siku moja
 
Nafikiri hasta Jana watangazaji was Azam waliongea na wakamkemea refa sana kwanba hafai na anaharibu mchezo was ngumi, kwa hiyo wakulaumiwa na refa kwa kushindwa kusimamia Sheria za ngumi na sio azam
 
Sisi wapenzi halisi wa ngumi tunachukizwa na Upuuzi na dharau ambazo wanazifanya Azam katika mchezo wa Ngumi. Huu si mchezo wa Maigizo. Mtakuja sababisha mtu adhurike au afe ulingoni.

Lakini pia hiyo tabia kuna watu wataacha kabisa kufuatilia mchezo wa ngumi. Sababu inaonekana kabisa mnamtengeneza Mandonga kwa kudhani mna upromote mchezo. Kumbe mnaua mchezo. Muulizeni Liquid.. yu wapi sasa? Watu watafikia hatua watadharau kila kitu.

Huu ni mchezo serious ufanyeni uwe serious please. Msilete maigizo kwenye mchezo wa ngumi. Si tayali mnazo tamthiliya nyingi tu? Zinatosha. Mchezo huu upeni heshima yake watu tutaupenda.
Nadhani we hujui maana ya neno michezo kuwa ni entertainment,hujui kwanini WWF ilibadilishwa ikawa WWE.lengo la michezo ni kuburudisha watu na sio kuumiza watu.kama ukiangalia video za Mohamed Ali utakubaliana nami hakuna bondia aliyekuwa na mizaa jukwaani kama yeye na ndo bondia Bora wa Karne.No seriousness kwenye michezo.Sports is not war.
 
Hv azam ndo marefa???
Mimi sifuatilii, ila kama hao Azam ni ma-promoter basi watakuwa wanahusika moja kwa moja tena ndiyo inabidi wabebe lawama za kwanza. Kama ni ma-promoter lakini. Pia kama wanaonyesha ngumi zisizofuata kanuni.
 
Nadhani we hujui maana ya neno michezo kuwa ni entertainment,hujui kwanini WWF ilibadilishwa ikawa WWE.lengo la michezo ni kuburudisha watu na sio kuumiza watu.kama ukiangalia video za Mohamed Ali utakubaliana nami hakuna bondia aliyekuwa na mizaa jukwaani kama yeye na ndo bondia Bora wa Karne.No seriousness kwenye michezo.Sports is not war.
Hujui unachozungumzia... Ungeomba uelezewe au ufundishwe. Humjui Muhamed Ali. Sisi tumemuona... Huwezi mfananisha na Upuuzi unaoufikiria wewe. Masumbwi mimi nafaham nimecheza pia. Ujinga wa kumlea hivi Mandonga athari atakazopata hawatakuwepo kumsaidia. Na unafaham Ali alikuja pata athari gani kutokana na Ngumi? Hujui. Bondia baada ya pambano moja anapaswa apumzike miezi 3.

But pia Mandonga ni mchongo tu hamna kitu pale. Mashindano anayoshinda ni kwa michongo. Unazungumzia Wrestling mimi naangalia Wrestling ya WWF,WWE, na mashirika mengine kwa Monday Nitro, NWO n.k wewe either ukiwa hujazaliwa au unatambaa. Enzi za Akina Macho Man,Ricky Flaire, Hulg Hogan n.k

Yale ni maigizo kama maigizo mengine ya movie its not real. Boxing is real.
 
Kuna siku niliandika hapa mara tu baada ya mandonga kupigwa pambano la kwanza na kupata umaarufu yanga walimchukua awe icon yao pia.

Nilisema kwa vile hawa utopolo wameamchukua ili watafute sifa kama ilivyo kawaida yao,ataanza kushinda kimchongo mchongo na kweli pambano lililofuata alishinda kimchongo mchongo.

Pambano hili,ni la mchongo ule ule.Gsm abakize haya mambo kwenye mpira huku mtu atauliwa siku moja
Kumbe Rage hakukosea hata kidogo.
 
Hujui unachozungumzia... Ungeomba uelezewe au ufundishwe. Humjui Muhamed Ali. Sisi tumemuona... Huwezi mfananisha na Upuuzi unaoufikiria wewe. Masumbwi mimi nafaham nimecheza pia. Ujinga wa kumlea hivi Mandonga athari atakazopata hawatakuwepo kumsaidia. Na unafaham Ali alikuja pata athari gani kutokana na Ngumi? Hujui. Bondia baada ya pambano moja anapaswa apumzike miezi 3.

But pia Mandonga ni mchongo tu hamna kitu pale. Mashindano anayoshinda ni kwa michongo. Unazungumzia Wrestling mimi naangalia Wrestling ya WWF,WWE, na mashirika mengine kwa Monday Nitro, NWO n.k wewe either ukiwa hujazaliwa au unatambaa. Enzi za Akina Macho Man,Ricky Flaire, Hulg Hogan n.k

Yale ni maigizo kama maigizo mengine ya movie its not real. Boxing is real.
Hulk Hogan ,Sting,Eddie Guerrero,Chris Benoite,Chris Jericho ,Psychosis etc cetra,et cetra.
 
Sisi wapenzi halisi wa ngumi tunachukizwa na Upuuzi na dharau ambazo wanazifanya Azam katika mchezo wa Ngumi. Huu si mchezo wa Maigizo. Mtakuja sababisha mtu adhurike au afe ulingoni.

Lakini pia hiyo tabia kuna watu wataacha kabisa kufuatilia mchezo wa ngumi. Sababu inaonekana kabisa mnamtengeneza Mandonga kwa kudhani mna upromote mchezo. Kumbe mnaua mchezo. Muulizeni Liquid.. yu wapi sasa? Watu watafikia hatua watadharau kila kitu.

Huu ni mchezo serious ufanyeni uwe serious please. Msilete maigizo kwenye mchezo wa ngumi. Si tayali mnazo tamthiliya nyingi tu? Zinatosha. Mchezo huu upeni heshima yake watu tutaupenda.
Jana hata sikuangalia hata sahivi sijui hata nani ameshinda unaweza usiamin lakin ndo ukweli

nchi hii Kuna masihara mengi sana wanaofanya mizaha ndo mashujaa najiuliza tunatengeneza kizazi kinachoamin kwenye ujanjaujanja ndo maana Leo Kuna panya road
 
Hujui unachozungumzia... Ungeomba uelezewe au ufundishwe. Humjui Muhamed Ali. Sisi tumemuona... Huwezi mfananisha na Upuuzi unaoufikiria wewe. Masumbwi mimi nafaham nimecheza pia. Ujinga wa kumlea hivi Mandonga athari atakazopata hawatakuwepo kumsaidia. Na unafaham Ali alikuja pata athari gani kutokana na Ngumi? Hujui. Bondia baada ya pambano moja anapaswa apumzike miezi 3.

But pia Mandonga ni mchongo tu hamna kitu pale. Mashindano anayoshinda ni kwa michongo. Unazungumzia Wrestling mimi naangalia Wrestling ya WWF,WWE, na mashirika mengine kwa Monday Nitro, NWO n.k wewe either ukiwa hujazaliwa au unatambaa. Enzi za Akina Macho Man,Ricky Flaire, Hulg Hogan n.k

Yale ni maigizo kama maigizo mengine ya movie its not real. Boxing is real.
Athari za ngum humpata bondia yoyote na mda wote regardless kacheza michezo mingapi,na kuhusu we kujitapa umeangalia ngum kabla cjazaliwa na hunifaham kunaonyesha jinsi ulivyo chizi na huna akili kama jina lako.angalia join date yako na yangu kwanza.
 
Back
Top Bottom