Azam mnaenda kuharibu Mchezo wa Ngumi. Watu wakishaona haya maigizo mara mbili tatu wanaachana na Huu Upuuzi

Athari za ngum humpata bondia yoyote na mda wote regardless kacheza michezo mingapi,na kuhusu we kujitapa umeangalia ngum kabla cjazaliwa na hunifaham kunaonyesha jinsi ulivyo chizi na huna akili kama jina lako.angalia join date yako na yangu kwanza.
Sijaona ulichoandika cha maana kujibu hoja zangu. Sababu huufahamu mchezo wa ngumi. Join date ya JF? Pole sana. We unaangalia ID hii? Ungejua....hata usingezungumzia hilo. Anyway sababu wewe ni maamuma let me leave you.
 
Hii nchi jitambue wewe na uzao wako tu ila ukisema ufate trend mtapotea wote wewe na uzao wako pia , watu hawafanyi haya kwa bahati mbaya...............mwisho wa siku kunakua na kizazi cha mazombi wanaotawaliwa na watu wachache
 
Hii nchi jitambue wewe na uzao wako tu ila ukisema ufate trend mtapotea wote wewe na uzao wako pia , watu hawafanyi haya kwa bahati mbaya...............mwisho wa siku kunakua na kizazi cha mazombi wanaotawaliwa na watu wachache
Nchi hii utagundua wengi ni mandondocha au misukule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…