Azam na Dhambi ya Fei Toto itakayowaandama

Azam na Dhambi ya Fei Toto itakayowaandama

Wakati anaondoka Yanga kwa nyodo, Feisal Salum 'Feitoto' tulimuuliza kwa nini anatoka timu kubwa kwenda timu ndogo? Hakusikia.

Sasa ameanza kuona mwenyewe timu yake imetolewa na katimu kadogo ka ku Bahir Dar Kenema kutoka Ethiopia katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Safari yake kucheza michuano ya kimataifa kwa mwaka huu imeishia hapo.

Atacheza tu ligi ya hapa nyumbani na vitimu kama Mashujaa au Kitayotsce.

Nani atamuona huko nje? Unamshauri nini?

Ana gundu au ni ile hadithi ya mkataa pema pabaya panamwita?
Eti amewaziba mdogo akina Hersi kwa kufunga Ile penati, ukweli niliudhika sana kwa kitendo kile.
 
Akinywee kikombe alicho kitayarisha mwenyewe.

By the way maslah kwanza. Kama timu aliyomo inamlipa vizuri zaidi ya timu ya awali acha akae sehemu anayo ona inamfaa
Pesa ipi hiyo? angekuwa Yanga huenda Sasa hivi angekuwa na Nabi huko timu za mbele, angepata fweza nyingi kufuru. Sasa hebu ona kule aliko sasa unaelewa anachofinya? Hajaisaidia timu hata kidogo. Manungu TU Sasa imebaki,
 
Namna Azam walivyompata Fei Toto kutoka Yanga was unsporting.

Ni vigumu Fei Toto kujinasua na upendo aliouchafua. Kafunga goli la penati akaonyesha alama ya kufunga watu midogo, kweeeli!

Yanga woooote wafunge mdomo kwakuwa yeye kafunga goli.
Wageni ktk soka mnaanza kuja na nadharia zenu
 
Wazee wa Nongwa....
Feisal anawapa taabu sana..
Hatupi tabu sie, alipoondoka timu ilifunga kila timu. Mbona Mayelle kaondoka vizuri TU ingawa alikuwa muhimu sana kwenye timu kuliko yeye? Shida ni aina ya kuondoka kwake. Hakuna timu makini inasajili mchezaji anaehama klabu yake kama vile. Alivyoondoka dogo ni sawa na kutaka kupanga matokeo ya mechi.
 
Tufunge bakuli kwa goli la penati.
FB_IMG_16930037717559620.jpg
 
Basi yangaTanga walivyokosa ngao ya jamii itakuwa laana ya feitoto au wakitolewa na El merekh na kukosa ubingwa itakuwa laana ya Feitoto.
Mpira ni sehemu ya kujenga upendo Ila utopolo wengi mnafanya sehemu ya kutengeneza chuki
 
Basi yangaTanga walivyokosa ngao ya jamii itakuwa laana ya feitoto au wakitolewa na El merekh na kukosa ubingwa itakuwa laana ya Feitoto.
Mpira ni sehemu ya kujenga upendo Ila utopolo wengi mnafanya sehemu ya kutengeneza chuki
Mbona Yanga Haina neno na wachezaji wengine waliondoka Yanga? Kuondoka kambini kihuni siku moja kabla ya mechi na Azam ni uwanamichezo? huko ni kupanga matokeo.
 
Mbona Yanga Haina neno na wachezaji wengine waliondoka Yanga? Kuondoka kambini kihuni siku moja kabla ya mechi na Azam ni uwanamichezo? huko ni kupanga matokeo.
Morrison siku zote mlikuwa mnamuombea mabaya alipoenda Simba Ila aliporudi yanga mlishangilia, Ajib pamoja na kwamba mlimchukua Simba akiwa huru, alipoamua kurudi Simba mlikuwa mkimwombea mabaya, Gadiel Michael, Kakolanya orodha ni ndefu mno.
 
Morrison siku zote mlikuwa mnamuombea mabaya alipoenda Simba Ila aliporudi yanga mlishangilia, Ajib pamoja na kwamba mlimchukua Simba akiwa huru, alipoamua kurudi Simba mlikuwa mkimwombea mabaya, Gadiel Michael, Kakolanya orodha ni ndefu mno.
Morrison hasira nyingi zilielekezwa zaidi kwa TFF na kidogo sana kwa uongozi wa timu na kiiidogo kabisa kwa Morrison.
 
Namna Azam walivyompata Fei Toto kutoka Yanga was unsporting.

Ni vigumu Fei Toto kujinasua na upendo aliouchafua. Kafunga goli la penati akaonyesha alama ya kufunga watu midogo, kweeeli!

Yanga woooote wafunge mdomo kwakuwa yeye kafunga goli.
Tatizo nini? Labda walisema hafungi tena?
 
Namna Azam walivyompata Fei Toto kutoka Yanga was unsporting.

Ni vigumu Fei Toto kujinasua na upendo aliouchafua. Kafunga goli la penati akaonyesha alama ya kufunga watu midogo, kweeeli!

Yanga woooote wafunge mdomo kwakuwa yeye kafunga goli.
Kwamba Azam walikua wanaenda makundi kimataifa ila baada ya kumleta Feisal ndio laana ikaja wakaishia raund ya kwanza?

PSG walileta Neymar, mbappe wakawaleta Messi na Ramos ili washinde CL lakini wakashindwa itakua Azam kwa Feitoto

Ishu ni kujenga mentality tuu
 
Hatupi tabu sie, alipoondoka timu ilifunga kila timu. Mbona Mayelle kaondoka vizuri TU ingawa alikuwa muhimu sana kwenye timu kuliko yeye? Shida ni aina ya kuondoka kwake. Hakuna timu makini inasajili mchezaji anaehama klabu yake kama vile. Alivyoondoka dogo ni sawa na kutaka kupanga matokeo ya mechi.
Kwani hakuna wachezaji walioondoka vizuri na wakafeli huko walikoenda?
 
Namna Azam walivyompata Fei Toto kutoka Yanga was unsporting.

Ni vigumu Fei Toto kujinasua na upendo aliouchafua. Kafunga goli la penati akaonyesha alama ya kufunga watu midogo, kweeeli!

Yanga woooote wafunge mdomo kwakuwa yeye kafunga goli.
Haruna mlichoma mpaka Jezi ila alicheza kwa mafanikio Simba na akaifikisha robo fainali CL
 
Back
Top Bottom