Azam na Dhambi ya Fei Toto itakayowaandama

Azam na Dhambi ya Fei Toto itakayowaandama

Namna Azam walivyompata Fei Toto kutoka Yanga was unsporting.

Ni vigumu Fei Toto kujinasua na upendo aliouchafua. Kafunga goli la penati akaonyesha alama ya kufunga watu midogo, kweeeli!

Yanga woooote wafunge mdomo kwakuwa yeye kafunga goli.
Great Mainds Discuss Ideas
Average Minds Discuss Events
Small Minds Discuss People
 
Akinywee kikombe alicho kitayarisha mwenyewe.

By the way maslah kwanza. Kama timu aliyomo inamlipa vizuri zaidi ya timu ya awali acha akae sehemu anayo ona inamfaa

For how long? Kuna kulipwa zaidi week 3, na kunakulipwa vizuri mda mrefu huku unajijenga.

Angelipwa kidogo mda wote, huku anajijenga, katoto kadogo kameharibu future kwa upumbavu.

Hii ndo shida ya wanaume kushauriwa na Kina, Kina Mama wana umuhimu wao, ila sio wa kufuata.
 
Naona bado mnampenda mtu asiyewapenda. Bora mnyamaze kuliko kumuongelea kila dk
 
Hivi mtu akiiasi Yanga au Simba, hafai kuwa mchezaji tena kwa timu nyingine? Ukumbuke mwisho wa siku lazima atengeneze maisha yake ipasavyo.
 
Hivi mtu akiiasi Yanga au Simba, hafai kuwa mchezaji tena kwa timu nyingine? Ukumbuke mwisho wa siku lazima atengeneze maisha yake ipasavyo.
Hasemwi kwakuwa ameondoka, anaswemwa namna alivyoondoka. Timu yenye malengo makubwa haiwezi kupokea mchezaji anaeondoka kwenye timu yake kwa style ile. Ndio maana hatushangai Azam kufurushwa CAF mapeeema!!!
 
Back
Top Bottom