Azam na Dhambi ya Fei Toto itakayowaandama

Azam na Dhambi ya Fei Toto itakayowaandama

Namna Azam walivyompata Fei Toto kutoka Yanga was unsporting.

Ni vigumu Fei Toto kujinasua na upendo aliouchafua. Kafunga goli la penati akaonyesha alama ya kufunga watu midogo, kweeeli!

Yanga woooote wafunge mdomo kwakuwa yeye kafunga goli.
Fei alifeli vibaya sana.
 
Ulijuaje kama amawaziba midomo wao?........Kama ni watu wengine....tuache tabia ya kutunga uongo.
Watu gani wengine wanaostahili kufunga mabakuli Yao dhidi yake, viongozi wa Azam?, Kineema? Ibwe? Zakazakazi? Bench lake la ufundi au nani? Tell us bro!!! Dogo hana nidhamu nakwambia. Hata Rais mwenyewe kama nae aliiangalia mechi lazima atamuonya kwa kitendo kile
 
Ww SI unamuona mama yake, uwashili mwingi na ndio jadi Yao
Hata mawakala na wanasheria wake siuliwaona walivyo? Walishindwa kesi wakakibilia busara, na busara iliposhindwa wakakimbilia uzawa, uzawa ulivyoshindwa wakarudisha mpira kwa Mama.
 
Wakati anaondoka Yanga kwa nyodo, Feisal Salum 'Feitoto' tulimuuliza kwa nini anatoka timu kubwa kwenda timu ndogo? Hakusikia.

Sasa ameanza kuona mwenyewe timu yake imetolewa na katimu kadogo ka ku Bahir Dar Kenema kutoka Ethiopia katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Safari yake kucheza michuano ya kimataifa kwa mwaka huu imeishia hapo.

Atacheza tu ligi ya hapa nyumbani na vitimu kama Mashujaa au Kitayotsce.

Nani atamuona huko nje? Unamshauri nini?

Ana gundu au ni ile hadithi ya mkataa pema pabaya panamwita?
Ataenda kucheza dhidi ya majimaji FC ya Songea
Na Namungo za Mtwara.
 
Tatizo ni la azam tatizo sio kuondoka yanga,kwenye hili huna umhimu
 
Akinywee kikombe alicho kitayarisha mwenyewe.

By the way maslah kwanza. Kama timu aliyomo inamlipa vizuri zaidi ya timu ya awali acha akae sehemu anayo ona inamfaa
Kama issue ingekuwa fedha TU basi Chama na Miquison wasingerudi Simba tena. Kuna mstari mnene sana unaotenganisha pesa na furaha
 
Watu gani wengine wanaostahili kufunga mabakuli Yao dhidi yake, viongozi wa Azam?, Kineema? Ibwe? Zakazakazi? Bench lake la ufundi au nani? Tell us bro!!! Dogo hana nidhamu nakwambia. Hata Rais mwenyewe kama nae aliiangalia mechi lazima atamuonya kwa kitendo kile
Alikuwa anawaziba midomo wanaomzomea pale uwanjani...na sio Viongozi...
 
Alikuwa anawaziba midomo wanaomzomea pale uwanjani...na sio Viongozi...
Nani alikuwa anamzomea? Kama anacheza vizuri na kuisaidiia timu kwanini azomewe? Mfano, nani angemzomea kama angekuwa anacheza kama Maxi Nzengeli au chemalon au Ngoma au Kibabage au Mzamiru? Dawa halisi ya kuwaziba watu midomo ni kutia juhudi uwanjani kuisaidiia timu yako, sio vinginevyo.
 
Nani alikuwa anamzomea? Kama anacheza vizuri na kuisaidiia timu kwanini azomewe? Mfano, nani angemzomea kama angekuwa anacheza kama Maxi Nzengeli au chemalon au Ngoma au Kibabage au Mzamiru? Dawa halisi ya kuwaziba watu midomo ni kutia juhudi uwanjani kuisaidiia timu yako, sio vinginevyo.
Kuna watu walikuwa kweli wanamzomea kila akishika mpira, si unajua dogo akuondoka vizuri Jangwani?.....watu bado wana chuki naye.
 
Alifuata mpunga
Tz hakuna mpunga, mpunga mwingi uko waliko akina Samata, msuva, Mayelle, nk angeendelea kukiwasha Yanga kwenye mechi za CAF Leo hii angeogelea kwenye mpunga. Hata Azam wataanza kujuta kumfahamu.
 
Akinywee kikombe alicho kitayarisha mwenyewe.

By the way maslah kwanza. Kama timu aliyomo inamlipa vizuri zaidi ya timu ya awali acha akae sehemu anayo ona inamfaa
Maslahi kwanza lakini kibinadamu akutakiwa kuondoka vile,kijana alikosa adabu
 
Back
Top Bottom