Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Ww SI unamuona mama yake, uwashili mwingi na ndio jadi Yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fei alifeli vibaya sana.Namna Azam walivyompata Fei Toto kutoka Yanga was unsporting.
Ni vigumu Fei Toto kujinasua na upendo aliouchafua. Kafunga goli la penati akaonyesha alama ya kufunga watu midogo, kweeeli!
Yanga woooote wafunge mdomo kwakuwa yeye kafunga goli.
Watu gani wengine wanaostahili kufunga mabakuli Yao dhidi yake, viongozi wa Azam?, Kineema? Ibwe? Zakazakazi? Bench lake la ufundi au nani? Tell us bro!!! Dogo hana nidhamu nakwambia. Hata Rais mwenyewe kama nae aliiangalia mechi lazima atamuonya kwa kitendo kileUlijuaje kama amawaziba midomo wao?........Kama ni watu wengine....tuache tabia ya kutunga uongo.
mbona ukal mwingi mmh utakua shabik wa wanarambaramba ashkrimu adham fcacha upumbavu
Hata mawakala na wanasheria wake siuliwaona walivyo? Walishindwa kesi wakakibilia busara, na busara iliposhindwa wakakimbilia uzawa, uzawa ulivyoshindwa wakarudisha mpira kwa Mama.Ww SI unamuona mama yake, uwashili mwingi na ndio jadi Yao
Ataenda kucheza dhidi ya majimaji FC ya SongeaWakati anaondoka Yanga kwa nyodo, Feisal Salum 'Feitoto' tulimuuliza kwa nini anatoka timu kubwa kwenda timu ndogo? Hakusikia.
Sasa ameanza kuona mwenyewe timu yake imetolewa na katimu kadogo ka ku Bahir Dar Kenema kutoka Ethiopia katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Safari yake kucheza michuano ya kimataifa kwa mwaka huu imeishia hapo.
Atacheza tu ligi ya hapa nyumbani na vitimu kama Mashujaa au Kitayotsce.
Nani atamuona huko nje? Unamshauri nini?
Ana gundu au ni ile hadithi ya mkataa pema pabaya panamwita?
Kama issue ingekuwa fedha TU basi Chama na Miquison wasingerudi Simba tena. Kuna mstari mnene sana unaotenganisha pesa na furahaAkinywee kikombe alicho kitayarisha mwenyewe.
By the way maslah kwanza. Kama timu aliyomo inamlipa vizuri zaidi ya timu ya awali acha akae sehemu anayo ona inamfaa
Alikuwa anawaziba midomo wanaomzomea pale uwanjani...na sio Viongozi...Watu gani wengine wanaostahili kufunga mabakuli Yao dhidi yake, viongozi wa Azam?, Kineema? Ibwe? Zakazakazi? Bench lake la ufundi au nani? Tell us bro!!! Dogo hana nidhamu nakwambia. Hata Rais mwenyewe kama nae aliiangalia mechi lazima atamuonya kwa kitendo kile
Nani alikuwa anamzomea? Kama anacheza vizuri na kuisaidiia timu kwanini azomewe? Mfano, nani angemzomea kama angekuwa anacheza kama Maxi Nzengeli au chemalon au Ngoma au Kibabage au Mzamiru? Dawa halisi ya kuwaziba watu midomo ni kutia juhudi uwanjani kuisaidiia timu yako, sio vinginevyo.Alikuwa anawaziba midomo wanaomzomea pale uwanjani...na sio Viongozi...
Kuna watu walikuwa kweli wanamzomea kila akishika mpira, si unajua dogo akuondoka vizuri Jangwani?.....watu bado wana chuki naye.Nani alikuwa anamzomea? Kama anacheza vizuri na kuisaidiia timu kwanini azomewe? Mfano, nani angemzomea kama angekuwa anacheza kama Maxi Nzengeli au chemalon au Ngoma au Kibabage au Mzamiru? Dawa halisi ya kuwaziba watu midomo ni kutia juhudi uwanjani kuisaidiia timu yako, sio vinginevyo.
Hata sio elimu ni uelewaKipaji bila elimu ni janga! Dogo hajitambui!
Wakati anaondoka Yanga kwa nyodo, Feisal Salum 'Feitoto' tulimuuliza kwa nini anatoka timu kubwa kwenda timu ndogo? Hakusikia.
Labda kama huna akili kujua ile ishara ilikua ina mhusu naniUlijuaje kama amawaziba midomo wao?........Kama ni watu wengine....tuache tabia ya kutunga uongo.
Ni ngumu kujua ishara inamuhusu fulani......sitakuwa kuwa mnafiki..Labda kama huna akili kujua ile ishara ilikua ina mhusu nani
Maslahi kwanza lakini kibinadamu akutakiwa kuondoka vile,kijana alikosa adabuAkinywee kikombe alicho kitayarisha mwenyewe.
By the way maslah kwanza. Kama timu aliyomo inamlipa vizuri zaidi ya timu ya awali acha akae sehemu anayo ona inamfaa