Azam na Dhambi ya Fei Toto itakayowaandama

Fanyeni kama umeachana na demu
Unamfuta mazima
hizi za kuona atafanyaje sio sportsmanship
 
Ni wajinga peke yao wanadani Fei Ndio sababu. Na Msimu jana Fei alisababisha nn?
Ujinga mwingine bana
 
Dogo ilibidi afocous kwenye football aache kupambana na mashabiki mbona Okwi ,Niyonzima walitulia wakawa wanapiga kazi tu ...
Kipaji bila elimu ni janga! Dogo hajitambui!
 
Namna Azam walivyompata Fei Toto kutoka Yanga was unsporting.

Ni vigumu Fei Toto kujinasua na upendo aliouchafua. Kafunga goli la penati akaonyesha alama ya kufunga watu midogo, kweeeli!

Yanga woooote wafunge mdomo kwakuwa yeye kafunga goli.
Hii dhambi itawatafuna na kumtafuna Feitoto sanaaaa!
 
Unataka kusema PSG iliwachukua hao uliowataja kihuni kwa msaada wa Rais wa nchi Yao Shirac, Sakoz au Macron?

Hebu ona, kulikuwa na sababu gani ya kumuacha Fei Toto acheze dk 90 wakati Hana anachofanya uwanjani? Hivi Fei alikuwa Bora kuliko wachezaji wengine walioko kwenye bench?
 
Kwani hakuna wachezaji walioondoka vizuri na wakafeli huko walikoenda?
Kwahiyo unakubali Fei amefeli? Kwanini hakufanyiwa sub akaachwa acheze 90' au walikuwa wamejiandaa kwa upigaji wa penati?
 
Tatizo ni kusema kuwa kutolewa kwa Azam ni laana ya kumchukua Fei kihuni, wakati hata kabla ya kumchukua Fei walikua wanatolewa tuu
 
Ni ukweli uliowazi dogo amepata mafanikio kwenye upande wa kipato kwa kusajiliwa na hao Azam. Ila linapokuja suala la furaha ndani ya dimbai, hilo asahau akiwa na timu kama hiyo.

Furaha ya kweli aliicha Yanga aliicha Yanga. Na kamwe hatoipata akiwa na timu kama Azam.
 
Kwahiyo unakubali Fei amefeli? Kwanini hakufanyiwa sub akaachwa acheze 90' au walikuwa wamejiandaa kwa upigaji wa penati?
Hajafeli, mnavotabiri atafeli kisa kaondoka kihuni ndio nawauliza hakuna walioondoka vizuri na wakafeli
 
Haruna mlichoma mpaka Jezi ila alicheza kwa mafanikio Simba na akaifikisha robo fainali CL
Haruna aliondoka vizuri TU, ila zile zilikuwa bangi TU za mashabiki wa Yanga kutokana na mahaba Yao kwake.
 
Ni ukweli uliowazi dogo amepata mafanikio kwenye upnde wa kipato kwa kusajiliwa na hao Azam. Ila linapokuja suala la furaha na amani, hilo asahau akiwa na timu kama hiyo.

Furaha aliicha Yanga alikokuwa akishindia ugali na sukari.
Azam ni timu ndogo, vibe la Azam sio kama Yanga, hivo hata yeye mpaka anachukua maamuzi hayo alikua anafahamu
 
Hatuna aliondoka vizuri TU, ila zile zilikuwa bangi TU za mashabiki wa Yanga kutokana na mahaba Yao kwake.
Sasa hata hizi za kusema laana ni bangi pia kutokana na mahaba mliyokua nayo kwa Fei
 
Azam ni kama mtoto wa kishua asiye na akili. Anapewa kila kitu lakini bado anafeli. Japo safari hii Azam hawana mwalimu wa mpira.
 
Azam ni timu ndogo, vibe la Azam sio kama Yanga, hivo hata yeye mpaka anachukua maamuzi hayo alikua anafahamu
Sio, angekuwa anafahamu angesubiri uhamisho wa kawaida TU kama walivyofanya akina Mayelle, Ajibu, Niyonzima, nk. Yeye aliondoka kama njia ya kuihujumu Yanga, hasa kwenye mechi ya marudiano dhidi ya Azam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…