Azam na dharau kwa TFF na Watanzania. Haya ni matusi

Azam na dharau kwa TFF na Watanzania. Haya ni matusi

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Ninaangalia mechi ya Simba vs Kagera sugar. Azam wanatumia Camera moja ambayo inaonesha theluthi ya uwanja tu.

Camera imeweka katika low angle ambapo ni kama Camera imewekwa kwenye kigoda Cha mama ntilie. Camera hiyo moja inatembezwa Kila engo kama tiara.

Kiukweli haivutii kutazama.

Ni kama Azam hawamtaki au wametuzowea. Wanafanya wanavyo jisikia.

Tunaomba TFF na TCRA kuangalia namna ya kufanya evaluation juu na kazi za Azam.

Kwenu TFF tunaomba kuwe na ushindani na tenda ijayo ipewe makampuni mawili au zaidi ili kuleta ushindani. Azam tumewachoka.
 
Ninaangalia mechi ya Simba vs Kagera sugar. Azam wanatumia Camera moja ambayo inaonesha theluthi ya uwanja tu.
Camera imeweka katika low angle ambapo ni kama Camera imewekwa kwenye kigoda Cha mama ntilie.
Camera hiyo moja inatbezewa Kila engo kama tiara.
Kiukweli haivutii kutazama.
Ni kama Azam hawamtaki au wametuzowea. Wanafanya wanavyo jisikia.

Tunaomba TFF na TCRA kuangalia namna ya kufanya evaluation juu na kazi za Azam.
Kwenu TFF tunaomba kuwe na ushindani na tenda ijayo ipewe makampuni mawili au zaidi ili kuleta ushindani.
Azam tumewachoka.
mbona mechi zote zingine wanaonesha vizuri tu?
 
HV Hilo tu ndio umeliona hv mbn unalalamika vitu visivyo vya maana vya masna unaviacha

Kaz IPO
 
Ninaangalia mechi ya Simba vs Kagera sugar. Azam wanatumia Camera moja ambayo inaonesha theluthi ya uwanja tu.

Camera imeweka katika low angle ambapo ni kama Camera imewekwa kwenye kigoda Cha mama ntilie.
Camera hiyo moja inatbezewa Kila engo kama tiara.

Kiukweli haivutii kutazama.

Ni kama Azam hawamtaki au wametuzowea. Wanafanya wanavyo jisikia.

Tunaomba TFF na TCRA kuangalia namna ya kufanya evaluation juu na kazi za Azam.

Kwenu TFF tunaomba kuwe na ushindani na tenda ijayo ipewe makampuni mawili au zaidi ili kuleta ushindani.
Azam tumewachoka.
huna akili wewe.
umewahi kujiuliza ni kwanini production za azamtv zinazofanyika uwanja wa uhuru tu ndio zinakuwa below the quality?.
 
Huwa nashangazwa sana na watu ambao mna muda wakuangalia mipira hii ya bongo.

Mna mioyo ya uvumilivu sana. Mimi nimejaribu nimeshindwa. Kuanzia warusha matangazo, wachambuzi, wachezaji na mashabiki wote ni hewa tu.

Siwezanagi na vitu substandard kabisa.
 
Ina maana uwanja uliokaribu na jeshi ni Uhuru tu? Vipi kuhusu Mkapa?
Ishu ni main camera na sio camera zote, uwanja wa uhuru ukitumia main camera unaona hadi nje ya uwanja ambapo ndio kuna kambi ya jeshi lakini pale kwa mkapa main camera haionyeshi kambi ya jeshi kutokana na location na miundombinu ya uwanja wa mkapa.
 
Ishu ni main camera na sio camera zote, uwanja wa uhuru ukitumia main camera unaona hadi nje ya uwanja ambapo ndio kuna kambi ya jeshi lakini pale kwa mkapa main camera haionyeshi kambi ya jeshi kutokana na location na miundombinu ya uwanja wa mkapa.
Ndio watafute namna sio kuonesha vichekesho kama hivi..! Sisi tunahitaji kitu bora regardless na ugumu wa upatikanaji.
 
Ndio watafute namna sio kuonesha vichekesho kama hivi..! Sisi tunahitaji kitu bora regardless na ugumu wa upatikanaji.
Namna ndo hy unavoona hapo kama ni hvy bc jeshi ndio waruhusu camera kuwekwa juu
 
Back
Top Bottom