Ni ujinga jeshi kuogopa kamera za Azam wakati kuna satellite ya mzungu huko angani inamulika mpk chumbani kwa mkuu wa majeshi.Uwanja wa Uhuru ni sababu za kiusalama maana upo karibu kambi ya jeshi mkuu hawawezi kutumia camera ya juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ujinga jeshi kuogopa kamera za Azam wakati kuna satellite ya mzungu huko angani inamulika mpk chumbani kwa mkuu wa majeshi.Uwanja wa Uhuru ni sababu za kiusalama maana upo karibu kambi ya jeshi mkuu hawawezi kutumia camera ya juu
mbona kuna drone inachukua uwanja wa taifa mkubwa juu kabisa. hadi unaona viwanja vyote viwili. wamekosa sera wanatuona wametushika.Azam walitoa ufafanuzi kwamba hawawezi kutumia kamera ya juu sababu hapo karibu na uwanja wa Uhuru kuna kambi ya jeshi.
Kambi ya jeshi imejengwa wakati wa mechi hii pekee?Azam walitoa ufafanuzi kwamba hawawezi kutumia kamera ya juu sababu hapo karibu na uwanja wa Uhuru kuna kambi ya jeshi.
Mkapa umefungwa pande zote ni mrefu camera haziwezi ona nje.Ina maana uwanja uliokaribu na jeshi ni Uhuru tu? Vipi kuhusu Mkapa?
ITV ya nchi gani?Msimu ujao, AZam waondoshwe wapewe ITV hatuwezi kuburizwa namna hii, Azam wamefanya makhsudi kwakuwa Simba wamekataa kuchezea Chamazi.
Haya ndio matatizo ya kampuni moja ku-monopolise sekta ya michezo.
Akili za mtu mweusi bana, kwamba itafanya kambi ivamiwe kiurahisi kwa kuona matangazo ya Azam.Azam walitoa ufafanuzi kwamba hawawezi kutumia kamera ya juu sababu hapo karibu na uwanja wa Uhuru kuna kambi ya jeshi.
Kitu kifanyike, Serikalini iingilie Kati sababu uwanja wa uhuru umekuwepo miaka nenda rudi.Azam walitoa ufafanuzi kwamba hawawezi kutumia kamera ya juu sababu hapo karibu na uwanja wa Uhuru kuna kambi ya jeshi.
Watu weusi tuna tatizo kubwa sana la kifikra. Sioni mantiki ya maamuzi hayoAkili za mtu mweusi bana, kwamba itafanya Kambi ivamiwe kiurahisi kwa kuona matangazo ya Azam.
Na kuna nini cha ajabu humo? Mtu akitaka kupata taarifa zote anapata tu 100%.Wakati NK wamepeleka Satellite ya kuangalia hata sisimi wanaopita chini sisi tupo busy kukataza Camera zisiwekwe juu ya Uwanja wa mpira huku mkiwa mmedumaza vichwa hats kutaka kurusha Satellite yenu ya picha angani ham hamfikirii zaidi ya kuweka makatazo ya kiduanzi zama hizi eti Usipige picha hapa...