Azam na dharau kwa TFF na Watanzania. Haya ni matusi

Tff washakunja mabilion hawawezi kutia neno!
 
 
Thubutu kwani hawataki maokoto.
 
sababu hapo karibu na uwanja wa Uhuru kuna kambi ya jeshi.
Jeshi gani linataka kambi yake isimulikwe? Hili hili lililokuwa linagombana na wananchi waliokuwa na mavazi yanayotaka kufanan na sare zake? Ndiyo limeanza kugombania anga tena??

Hili jeshi uchwara kweli kweli. Halijui kuwa huko angani kuna satellite za mzungu zinamulika kila kitu hapa ardhini??
 
🚮
 
Ndio tushangae kwa pamoja.
Jeshi hili linachekesha kweli 😂
 
A generation with high knowledge but lacks comprehension.
 
Nakazia.

Halafu mwanzoni mwa mchezo kuna camera ilikuwa inachengachenga utadhani inavamiwa na nyuki. Sijui na yenyewe ni kwa sababu ya jeshi? Puaaa kabisa
 
maagizo kutoka juu...ule uwanja kamwe hautakuja kuoneshwa kwa hizo kamera mnazo taka nyinyi
 
Sasa kambi ya jeshi iliwekwa karibu na uwanja wa michezo ili iweje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…