Azam (SS Bakhresa) Mwenyezi Mungu akupe nini zaidi..!!

Azam (SS Bakhresa) Mwenyezi Mungu akupe nini zaidi..!!

Zamiluni Zamiluni

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
13,997
Reaction score
15,112
Kwa jina la Muumba na kwa upendo JMTanzania.

Mwarabu huyu ametuonesha uzalendo na upendo wa dhati kwa Taifa letu adhimu.

WanaMichezo na wanaHabari na wadau wengi watafaidika kwa njia mbalimbali ktk MKATABA na TFF ULIYO WA KIPEKEE hapa Barani Afrika.

Waswahili husema mcheza kwao hutunzwa

Huu ni mfano dhahiri na mwendelezo na wengine waje kuunganisha... Tanzania kwanza taifa letu juu.

Uzi nimewasilisha.
 
Kwa jina la Muumba na kwa upendo JMTanzania
Mwarabu huyu ametuonesha uzalendo na upendo wa dhati kwa Taifa letu adhimu...
WanaMichezo na wanaHabari na wadau wengi watafaidika kwa njia mbalimbali ktk MKATABA na TFF ULIYO WA KIPEKEE hapa Barani Afrika.
Waswahili husema mcheza kwao hutunzwa!!
Huu ni mfano dhahiri na mwendelezo na wengine wake kuunganisha... Tanzania kwanza taifa letu juu !!
Uzi nimewasilisha....
Maneno mazuri ila nadhani ungemwita tu Mtanzania mwenzetu au Salem Bakheresa kama kina Mo Dewji hatumwiti huyu muhindi katusaidia tunamwita Mo.
 
Hivi Mo Dewji zile 20 Bilioni zake alowekeza Simba ndio awe tajiri Afrika Mashariki? Matajiri hawajisemi, mzee Bakhressa kawekeza zaidi ya b 225....na upuuzi lakini hata tweet yake haionekni sehemu.
Acheni kumlinganisha Mudi Biriani na mzee Bakhresa! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Maneno mazuri ila nadhani ungemwita tu Mtanzania mwenzetu au Salem Bakheresa kama kina Mo Dewji hatumwiti huyu muhindi katusaidia tunamwita Mo.
Hahaha.... Haha sasa tumekuwa wapolee tumepowa!! Kweli ndg. Ila humu JF nz mtandaoni tukihesabu nyuzi zinao wananga Waarabu !!! Utashangaa!!
Hakika sisi watanzania ni Wakarim wa hulka na wa Imani... Utajiri wetu hurudishia raia, wadau na wananchi in generol !!!
Allah yeBarrik na Shukuru ni yake Mola!!
 
Usipotazama kwa karibu utaona sekta ya michezo itanufaika sana na huo mkataba. Ila kiukweli kumuuzia hati ya matangazo ya VPL kwa miaka kumi na pesa aliyotoa ni tofauti kabisa

Binafsi hapo mnufaika zaidi ni yeye TFF wamepigwa changa la macho

Kaipa dhamani league yetu ya Tz hata Team maskin at least zitanufaika tulipo toka ni mbali sana
 
Hivi Mo Dewji zile 20 Bilioni zake alowekeza Simba ndio awe tajiri Afrika Mashariki? Matajiri hawajisemi, mzee Bakhressa kawekeza zaidi ya b 225....na upuuzi lakini hata tweet yake haionekni sehemu.
Acheni kumlinganisha Mudi Biriani na mzee Bakhresa! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Ngoja waje wakutukane! Yaani unapata kabisa ujasiri wa kumsimanga kipenzi chao!! 🏃🏃
 
Back
Top Bottom