Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Utapata friend. Nimekuwekea so siwezi mpa mtu mwengine.Oouw thanks so much dear friend!! Thanks once again! Naamini zawadi bado haijachacha wala kuharibika!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapata friend. Nimekuwekea so siwezi mpa mtu mwengine.Oouw thanks so much dear friend!! Thanks once again! Naamini zawadi bado haijachacha wala kuharibika!
225 bHuyu mzee ana ukwasi kuliko Mo,ila hana show off
Eagerly waiting!!Utapata friend. Nimekuwekea so siwezi mpa mtu mwengine.
Hivi nyie mnaoweza kuona jamaa atavuna kwanini msitumie maono yenu yawasaidie kuvuna?hapana sheikh wangu, miaka 10 ni mingi sana azam kawaingiza chaka hawa viumbe atavuna sana
Kweli ni mtazamo, tena mtazamo wa mwenye njaaKiasi siwezi kusema bila upembuzi yakinifu na wa kutosha suala langu lipo kwenye mkataba. Jaribu kutazama ndani ya miaka kumi ijayo ligi itakuwa na thamani ya hilo gawio wanalopewa kwa msimu au hiyo pesa itakuwa na thamani zaidi kuliko ligi yetu?
Je hiyo pesa itakuwa na thamani kama ilivyokuwa nayo sasa ?au itakuwa na Msaada mchache kuliko kwa wakati huu bila shaka majibu yako wazi.kumuuzia mwekezaji haki zako zote za matangazo kwa mkataba mrefu kama huo ni kupigwa za uso bila kujua
Afadhali wangempa miaka mitano au wangeruhusu labda top four kama sio top six za msimu uliopita kuwa na haki ya kuwauzia wengine.mambo mengine ni kuangalia wenzetu wanafanyaje ila ndio mara nyingi tunaendeshwa na akili za tumbo kuliko akili za kichwani
Ni mtazamo tu
ndo utajua hujui kwanini Robert Kiyosaki sio bilionea namba moja dunianiHivi nyie mnaoweza kuona jamaa atavuna kwanini msitumie maono yenu yawasaidie kuvuna?
Sure thing!Eagerly waiting!!