Phrasal Verbs
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 245
- 263
Ni mtanzania mwenye pesa nyingi zaidi ya mo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye hela hawajionyeshi, forbes kweli ni waongo tu, wapi umewahi kuona tweet ya mzee Bakhressa?! Achana na Mudi biriani kila siku tweet[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Ngoja waje wakutukane! Yaani unapata kabisa ujasiri wa kumsimanga kipenzi chao!! [emoji125][emoji125]
Daah kweli kabisa, sema watu watabisha.Mungu amzidishie tu
Tafuta pesa acha kulalamika ndugu.Azma wapunguze bei za vifurushi, 20k ni pesa ndefu kwa sisi walala hoi
Kwahiyo ulitaka atoe halafu apate hasara. Hiyo ndio business. Akinufaika zaidi maana yake ni kuwa next contract ataongeza mzigo zaidi kama yeye atashinda tena ZabuniUsipotazama kwa karibu utaona sekta ya michezo itanufaika sana na huo mkataba. Ila kiukweli kumuuzia hati ya matangazo ya VPL kwa miaka kumi na pesa aliyotoa ni tofauti kabisa
Binafsi hapo mnufaika zaidi ni yeye TFF wamepigwa changa la macho
Hahaha, mambo yao tuwaachie wenyewe!Daah kweli kabisa, sema watu watabisha.
Inanisikitisha sana...
Yaani tajiri aweke hela zote hizo kwa miaka minne?miaka 10???? kweli TFF ni vilaza max ilitakiwa iwe miaka minne
hapana sheikh wangu, miaka 10 ni mingi sana azam kawaingiza chaka hawa viumbe atavuna sanaYaani tajiri aweke hela zote hizo kwa miaka minne?
Hata ngekuwa 20 sawa tu
Nimeona anaanzisha app ya kulipia vitu online inaitwa azam pay, kuhusu azam mobile sijui hta imeishia wapi.Azam mobile inaanza lini?
Nadhani umesahau ule usemi usemao " Kwenye fungu ndio kunapowekwa nyongeza"hapana sheikh wangu, miaka 10 ni mingi sana azam kawaingiza chaka hawa viumbe atavuna sana
waswahili hamjawahi kutosheka.Azma wapunguze bei za vifurushi, 20k ni pesa ndefu kwa sisi walala hoi
Kwa sifa hizi nadhani "Arab Mtz" wa Zanzibar au nimekosea?Arab MTz.... mzalendo mataifa mkarimu..mwokozi..mtetezi aliyeShiba hana njaa wala ubaya wala husda...mchangia ajira...
Mola amkubali tu..
Hahaha... mbona wapo wengi.. nikwataja hapa HD itafurika.. wapo wa bara na kisiwani.. tena 5 swalawat...Kwa sifa hizi nadhani "Arab Mtz" wa Zanzibar au nimekosea?
😃😃😃😃 Hapa ndio huwa nawakubali wabongo . Wewe mpe picha tu maelezo yote anayomwenyeweNi mtanzania mwenye pesa nyingi zaidi ya mo
Hongera kwake ingawa kwa sasa anaumwa sukari inamsumbua......Kwa jina la Muumba na kwa upendo JMTanzania.
Mwarabu huyu ametuonesha uzalendo na upendo wa dhati kwa Taifa letu adhimu.
WanaMichezo na wanaHabari na wadau wengi watafaidika kwa njia mbalimbali ktk MKATABA na TFF ULIYO WA KIPEKEE hapa Barani Afrika.
Waswahili husema mcheza kwao hutunzwa
Huu ni mfano dhahiri na mwendelezo na wengine waje kuunganisha... Tanzania kwanza taifa letu juu.
Uzi nimewasilisha.
coming soon probablyNimeona anaanzisha app ya kulipia vitu online inaitwa azam pay, kuhusu azam mobile sijui hta imeishia wapi.