Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
- Thread starter
-
- #41
Pole na Salamat yake :-Hongera kwake ingawa kwa sasa anaumwa sukari inamsumbua......
hapana sheikh wangu, miaka 10 ni mingi sana azam kawaingiza chaka hawa viumbe atavuna sana
huu mkataba unapaswa kuchunguzwa, hata kama hayupo lakini tff wamekubali kukabwa kiasi hiko?? hata kama wangepunguza pesa kwa miaka mitano sawa lakini miaka 10 ni mingi sanaHuyo wakutoa hela kama hiyo kwa miaka minne yupo?
Kiasi siwezi kusema bila upembuzi yakinifu na wa kutosha suala langu lipo kwenye mkataba. Jaribu kutazama ndani ya miaka kumi ijayo ligi itakuwa na thamani ya hilo gawio wanalopewa kwa msimu au hiyo pesa itakuwa na thamani zaidi kuliko ligi yetu?Unahisi alipaswa kutoa kiasi gani mkuu?
Suala sio biashara mzee ishu ni wote mpate katika mkataba kulingana na faida ya uuwekezaji.Haiwezekani upewe pipi mwenzako ale mkate alafu wewe utulie kwa sababu ya uwekezaji wake labda kama njaa imehamia tumboniKwahiyo ulitaka atoe halafu apate hasara. Hiyo ndio business. Akinufaika zaidi maana yake ni kuwa next contract ataongeza mzigo zaidi kama yeye atashinda tena Zabuni
Ndio mfanyabiashara ambae bidhaa zake nyingi husaidia kutoa ajira kwa wengine
Alianza na maji uhai vijana wakawa wansuza mabarabarani
Azam TV mabanda ya kuonyesha mpira yamezagaa
Asikilimu maderi kila kona
Muddy ni mpigaji tuHivi Mo Dewji zile 20 Bilioni zake alowekeza Simba ndio awe tajiri Afrika Mashariki? Matajiri hawajisemi, mzee Bakhressa kawekeza zaidi ya b 225....na upuuzi lakini hata tweet yake haionekni sehemu.
Acheni kumlinganisha Mudi Biriani na mzee Bakhresa! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Unga cha elfu nane mkuu cha bomba ambacho kilikuw elfu kumi, sijawahi kuunga kifurushi cha juu zaidi ya hki, natafuta nn kwa mfano.Azma wapunguze bei za vifurushi, 20k ni pesa ndefu kwa sisi walala hoi
Aamyn aamynHahaha.... Haha sasa tumekuwa wapolee tumepowa!! Kweli ndg. Ila humu JF nz mtandaoni tukihesabu nyuzi zinao wananga Waarabu !!! Utashangaa!!
Hakika sisi watanzania ni Wakarim wa hulka na wa Imani... Utajiri wetu hurudishia raia, wadau na wananchi in generol !!!
Allah yeBarrik na Shukuru ni yake Mola!!
MahondawHahaha, mambo yao tuwaachie wenyewe!
Mahondaw
Abeeh mirz!Mahondaw
Never got to wish you on your birthday. So, better late than never.Abeeh mirz!
Oouw thanks so much dear friend!! Thanks once again! Naamini zawadi bado haijachacha wala kuharibika!Never got to wish you on your birthday. So, better late than never.
Happy birthday
Sasa kwenye mambo ya SIMBA unayaletaje hapa??,Si tumekubaliana kuwa SIMBA ndo Baba lao na asitokee wakumsemasema au???[emoji23][emoji23]Hivi Mo Dewji zile 20 Bilioni zake alowekeza Simba ndio awe tajiri Afrika Mashariki? Matajiri hawajisemi, mzee Bakhressa kawekeza zaidi ya b 225....na upuuzi lakini hata tweet yake haionekni sehemu.
Acheni kumlinganisha Mudi Biriani na mzee Bakhresa! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
AMINA.Japo inawezekana kuna sehemu atakuwa anapiga vilivyo.Arab MTz.... mzalendo mataifa mkarimu..mwokozi..mtetezi aliyeShiba hana njaa wala ubaya wala husda...mchangia ajira...
Mola amkubali tu..
Wasisemwe kwani wao mayatima!!Sasa kwenye mambo ya SIMBA unayaletaje hapa??,Si tumekubaliana kuwa SIMBA ndo Baba lao na asitokee wakumsemasema au???[emoji23][emoji23]