Kinachofanya dstv kuwa na bei ndogo ya king'amuzi ni nini?Hiyo ya kufunga HUO NI UMBEA NA UONGO WADANGANYE WASIO IJUA DSTV....NA PIA KAMA WEWE HUWEZ LIPIA HILO NI TATIZO LAKO...
UKWELI UTABAKI PALE PALE DSTV IKO VIZURI..na watu wananunua ving'amuzi na wanaendelea kuenjoy soka mubashara
NBC premier League unaangalia kibanda umizasiwezi Toa hela yangu kwa dish la Azam never. Mimi naona dstv ni bora zaidi kuliko Azam.
Dstv ni NaTV?AFCON ni kama wanavofanyaga Kombe la Dunia. Television za Taifa ndo zinapewa haki ya kurusha
Usilazimishe kila mtu ajue uchoko wako, nimesema bei ya ving'amuzi hayo ya vifurushi uyaseme wewe bila kuniquote, dstv hadi anafikiria kufunga oparesheni zake tz kwa taarifa yako, ving'amuzi anauza 59000 bado wateja shida maana hawamudu malipo ya mwezi sasa kama mteja hamudu malipo ya mwezi dstv atapona vipi?
Star Times wataonesha mechi zote.AFCON ITAONESHWA DSTV TU BORA ULIPIEE
Huko ndo upuuzi mtupu, anaonesha mechi moja moja na wakati mwingine ratiba zinaingiliana mechi inaanzia kipindi cha pili!!! Kifupi Azam ni NBC League tu, bila hiyo hana maisha.Si ana Ligue 1, Bundesliga
Swali gumu Sana. Inawezekana wepesi wa operation zao. Wanauza hivyo na hawana hasara. Azam wanauza bei juu lakini 70% ya wenye navyo wanaangalia FTA. BasiKinachofanya dstv kuwa na bei ndogo ya king'amuzi ni nini?
Hii takwimu umeipata wapi mkuu?Swali gumu Sana. Inawezekana wepesi wa operation zao. Wanauza hivyo na hawana hasara. Azam wanauza bei juu lakini 70% ya wenye navyo wanaangalia FTA. Basi
Sio takwimu rasmi. Mi wengi nao wafahamu, hawalipii, wanaangalia tu FTA.Hii takwimu umeipata wapi mkuu?
Dstv nae ni EPL ukitoa hivyo hapa bongo hana jipyaHuko ndo upuuzi mtupu, anaonesha mechi moja moja na wakati mwingine ratiba zinaingiliana mechi inaanzia kipindi cha pili!!! Kifupi Azam ni NBC League tu, bila hiyo hana maisha.
Yaani Dstv ambao wameweka ving'amuzi kabatini ndio wengi zaidiSio takwimu rasmi. Mi wengi nao wafahamu, hawalipii, wanaangalia tu FTA.
Off course si wengi kiasi hicho kwa kuwa inajukikana wazi wao hawana FTA channels. Lakini startimes, na Azam wengi wasiofatilia mpira wanatumia kuangalizia taarifa za habari za nyumbani. Bila kusahau Safari channel kwa watoto.Yaani Dstv ambao wameweka ving'amuzi kabatini ndio wengi zaidi
Mbona TBC linapatikana FTA kwenye Dstv?Off course si wengi kiasi hicho kwa kuwa inajukikana wazi wao hawana FTA channels. Lakini startimes, na Azam wengi wasiofatilia mpira wanatumia kuangalizia taarifa za habari za nyumbani. Bila kusahau Safari channel kwa watoto.
OKAYStar Times wataonesha mechi zote.
Kwani kuna zaidi ya EPL kwenye soka!!!??Dstv nae ni EPL ukitoa hivyo hapa bongo hana jipya
Sasa kuna watu wanamsema Azam bila ligi ya bongo hamna kitu ila hawasemi hivyo kwa DstvKwani kuna zaidi ya EPL kwenye soka!!!??
EPL ndo kila kitu