Azam TV, kwamba Robert F. Kennedy ni mtoto wa John F Kenedy?

Azam TV, kwamba Robert F. Kennedy ni mtoto wa John F Kenedy?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Asilimia 99.8 ya Watangazaji wa hizi media za sasa ni weupe sana vichwani, wao mada wanazo zijua ni za kusifia na kuabudu na pia Mada za Yanga na Simba. Nje ya Mada za Yanga na Simba na Mada za kusifia hawa watangazaji ni weupe sana vichwani na sijui wanapatikana vipi.

Media zimejaa vipindi vya kijinga na sababu ni kuwa na Watangazaji weupe sana kichwani.

Angali walivyo weupe.

Hawa mada zao kuu lazima ziwe Yanga na Simba.

====

20240824_165441.jpg

Mtoto wa Rais wa zamani wa Marekani, John F Kennedy ametangaza kumuunga mkono mgombea urais wa nchi hiyo kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Trump.

Robert F Kennedy Jr ambaye alikuwa mgombea huru wa Urais ametangaza uamuzi huo kwenye mkutano wa hadhara Trump uliofanyika Arizona na kusema ataomba kuondolewa kwa jina lake miongoni mwa wagombea wa Urais.

Kennedy ambaye kwa muda mrefu wa maisha yake amekuwa mwanachama wa Democrat kilichomfanya kuondoka kwenye chama hicho ndicho kilichomsukuma kumuunga mkono rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump.

Donald Trump amempongeza Kennedy mwenye miaka 70 kwa uamuzi huo aliouita “wa kipee” na kumkaribisha kwenye kampeni zake.

Mpinzani mkubwa wa Trump kwenye uchaguzi wa Marekani, Kamala Harris amenukuliwa akisema “atajaribu kupata kura za waliokuwa wanamuunga mkono Kennedy”.
 
Kwani imekuajeee? Ko huyo Robert ni nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani imekuajeee? Ko huyo Robert ni nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni Mtoto wa Robert F Kennedy ambaye alikuwa mdogo wake na Rais John F Kennedy wa Marekani na wote hao mtu na mdogo wake waliuliwa kwa kupigwa risasi.
 
Mim nimsikilizaj mzur sana wa redio,nshagundua watangazaj wengi wa sasa hawajui kabisa vitu vingi hasa hasa vinavyohusiana na siasa,hesabu,jiografia na mambo mengi ya kisayansi

Nilishangaa siku moja kusikia Millard ayo hajui kama mimea ni kiumbe hai
Ni mtoto wa mdogo wake John F . Kennedy.
 

Attachments

  • Screenshot_20240824-162107.png
    Screenshot_20240824-162107.png
    123.3 KB · Views: 3
Asilimia 99.8 ya Watangazaji wa hizi media za sasa ni weupe sana vichwani, wao mada wanazo zijua ni za kusifia na kuabudu na pia Mada za Yanga na Simba. Nje ya Mada za Yanga na Simba na Mada za kusifia hawa watangazaji ni weupe sana vichwani na sijui wanapatikana vipi.
View attachment 3078091

Media zimejaa vipindi vya kijinga na sababu ni kuwa na Watangazaji weupe sana kichwani.
View attachment 3078086

Angali walivyo weupe.
View attachment 3078087
Hawa mada zao kuu lazima ziwe Yanga na Simba.
Nawewe umeungana nao... sasa marekebisho yako hapo ni yapi? Huna tofauti na hao wapuuzi wa Simba na Yanga!!
 
Asilimia 99.8 ya Watangazaji wa hizi media za sasa ni weupe sana vichwani, wao mada wanazo zijua ni za kusifia na kuabudu na pia Mada za Yanga na Simba. Nje ya Mada za Yanga na Simba na Mada za kusifia hawa watangazaji ni weupe sana vichwani na sijui wanapatikana vipi.
View attachment 3078091

Media zimejaa vipindi vya kijinga na sababu ni kuwa na Watangazaji weupe sana kichwani.
View attachment 3078086

Angali walivyo weupe.
View attachment 3078087
Hawa mada zao kuu lazima ziwe Yanga na Simba.
WJEnrP4c_400x400.jpg

Hii ni maajabu
 
Asilimia 99.8 ya Watangazaji wa hizi media za sasa ni weupe sana vichwani, wao mada wanazo zijua ni za kusifia na kuabudu na pia Mada za Yanga na Simba. Nje ya Mada za Yanga na Simba na Mada za kusifia hawa watangazaji ni weupe sana vichwani na sijui wanapatikana vipi.
View attachment 3078091

Media zimejaa vipindi vya kijinga na sababu ni kuwa na Watangazaji weupe sana kichwani.
View attachment 3078086

Angali walivyo weupe.
View attachment 3078087
Hawa mada zao kuu lazima ziwe Yanga na Simba.
Hawakukosea, labda ni lugha tu inakupiga chenga. Mimi sijawasikia walichokiongea. Nijuwavyo huyo ni mpwa wa John F. Kennedy. Kiswahili "mpwa" au mtoto wa dada'ko au kaka'ko ni mtoto wako ingawa siyo mwanao.
 
Back
Top Bottom