Azam TV, kwamba Robert F. Kennedy ni mtoto wa John F Kenedy?

Azam TV, kwamba Robert F. Kennedy ni mtoto wa John F Kenedy?

Mim nimsikilizaj mzur sana wa redio,nshagundua watangazaj wengi wa sasa hawajui kabisa vitu vingi hasa hasa vinavyohusiana na siasa,hesabu,jiografia na mambo mengi ya kisayansi

Nilishangaa siku moja kusikia Millard ayo hajui kama mimea ni kiumbe hai
Juzi nimemsikia mtangazaji akisoma taarifa ya habari radio wasafi akitamka ugonjwa wa Mpox akisema mpoksi kama ilivyo kwa kweli nilijisikia vibaya halafu si kama alikosea maana alirudia mara tatu
 
mkuu ww ndio mjinga sio hao azam..mbona azam wapo sahihi tu rais John F.keneddy na Robert F. keneddy ni mtu na kaka yake sasa huyu Robert F. keneddy Jr.ni mtoto wa Robert so anamwita rais John keneddy baba mkubwa kwahiyo azam kusema mtoto wa rais keneddy ni sawa maana mtoto wa kaka yako pia ni mwanao anakuita baba..
 
mkuu ww ndio mjinga sio hao azam..mbona azam wapo sahihi tu rais John F.keneddy na Robert F. keneddy ni mtu na kaka yake sasa huyu Robert F. keneddy Jr.ni mtoto wa Robert so anamwita rais John keneddy baba mkubwa kwahiyo azam kusema mtoto wa rais keneddy ni sawa maana mtoto wa kaka yako pia ni mwanao anakuita baba..
Huyo mleta mada ni mshamba tena poyoyo asiyejuwa utamaduni wa Kitanzania.
 
Hawa mada zao kuu lazima ziwe Yanga na Simba.
Umeumbuka vibaya Wewe km yule mwenzio wa Binocular, mtoto wa kaka yako anakuitaje km sio Baba?
iMarkup_20240824_165118.jpg
 
mkuu ww ndio mjinga sio hao azam..mbona azam wapo sahihi tu rais John F.keneddy na Robert F. keneddy ni mtu na kaka yake sasa huyu Robert F. keneddy Jr.ni mtoto wa Robert so anamwita rais John keneddy baba mkubwa kwahiyo azam kusema mtoto wa rais keneddy ni sawa maana mtoto wa kaka yako pia ni mwanao anakuita baba..
Wanakurupuka sana na yule wa Binocular ya Waziri nae the same anakurupuka bila kujiuliza mara 3
 
Asilimia 99.8 ya Watangazaji wa hizi media za sasa ni weupe sana vichwani, wao mada wanazo zijua ni za kusifia na kuabudu na pia Mada za Yanga na Simba. Nje ya Mada za Yanga na Simba na Mada za kusifia hawa watangazaji ni weupe sana vichwani na sijui wanapatikana vipi.
View attachment 3078091

Media zimejaa vipindi vya kijinga na sababu ni kuwa na Watangazaji weupe sana kichwani.
View attachment 3078086

Angali walivyo weupe.
View attachment 3078087
Hawa mada zao kuu lazima ziwe Yanga na Simba.
Azam media🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom