Azam TV, kwamba Robert F. Kennedy ni mtoto wa John F Kenedy?

Azam TV, kwamba Robert F. Kennedy ni mtoto wa John F Kenedy?

Wako sahihi japo si mtoto wake wa kuzaa ni mtoto wa mdogo wake! Hivyo ni mtoto wake tu

Britanicca
 
Mim nimsikilizaj mzur sana wa redio,nshagundua watangazaj wengi wa sasa hawajui kabisa vitu vingi hasa hasa vinavyohusiana na siasa,hesabu,jiografia na mambo mengi ya kisayansi

Nilishangaa siku moja kusikia Millard ayo hajui kama mimea ni kiumbe hai
Mwijaku,juma lokole,diva

Hawa unategemea watatoa michango gani kwenye siasa za kimataifa??kama mada itapita ktk kipindi chao,watajaribu kuijadili kisha wataingia matopeni kama kawaida.

Hata mtu maarufu kama kitenge kuna mambo kibao tu huwa anapuyanga.
 
Mwijaku,juma lokole,diva

Hawa unategemea watatoa michango gani kwenye siasa za kimataifa??kama mada itapita ktk kipindi chao,watajaribu kuijadili kisha wataingia matopeni kama kawaida.

Hata mtu maarufu kama kitenge kuna mambo kibao tu huwa anapuyanga.
Mwijaku siku moja yupo live anasema mlima kilimanjaro upo Arusha
 
Asilimia 99.8 ya Watangazaji wa hizi media za sasa ni weupe sana vichwani, wao mada wanazo zijua ni za kusifia na kuabudu na pia Mada za Yanga na Simba. Nje ya Mada za Yanga na Simba na Mada za kusifia hawa watangazaji ni weupe sana vichwani na sijui wanapatikana vipi.

Media zimejaa vipindi vya kijinga na sababu ni kuwa na Watangazaji weupe sana kichwani.

Angali walivyo weupe.

Hawa mada zao kuu lazima ziwe Yanga na Simba.

====

View attachment 3078124
Mtoto wa Rais wa zamani wa Marekani, John F Kennedy ametangaza kumuunga mkono mgombea urais wa nchi hiyo kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Trump.

Robert F Kennedy Jr ambaye alikuwa mgombea huru wa Urais ametangaza uamuzi huo kwenye mkutano wa hadhara Trump uliofanyika Arizona na kusema ataomba kuondolewa kwa jina lake miongoni mwa wagombea wa Urais.

Kennedy ambaye kwa muda mrefu wa maisha yake amekuwa mwanachama wa Democrat kilichomfanya kuondoka kwenye chama hicho ndicho kilichomsukuma kumuunga mkono rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump.

Donald Trump amempongeza Kennedy mwenye miaka 70 kwa uamuzi huo aliouita “wa kipee” na kumkaribisha kwenye kampeni zake.

Mpinzani mkubwa wa Trump kwenye uchaguzi wa Marekani, Kamala Harris amenukuliwa akisema “atajaribu kupata kura za waliokuwa wanamuunga mkono Kennedy”.
Sasa uliposahihisha ni wapi? Mpaka uulizwe?
 
They are killing the keneddies, alitamka Jackline Kennedy mke wa Rais akiwa uhamishoni baada ya kukimbia Marekani na kuamua kuishi na bilionea wa kigiriki Onassis
 
Back
Top Bottom