Azam TV, kwamba Robert F. Kennedy ni mtoto wa John F Kenedy?

Mim nimsikilizaj mzur sana wa redio,nshagundua watangazaj wengi wa sasa hawajui kabisa vitu vingi hasa hasa vinavyohusiana na siasa,hesabu,jiografia na mambo mengi ya kisayansi

Nilishangaa siku moja kusikia Millard ayo hajui kama mimea ni kiumbe hai
Juzi nimemsikia mtangazaji akisoma taarifa ya habari radio wasafi akitamka ugonjwa wa Mpox akisema mpoksi kama ilivyo kwa kweli nilijisikia vibaya halafu si kama alikosea maana alirudia mara tatu
 
mkuu ww ndio mjinga sio hao azam..mbona azam wapo sahihi tu rais John F.keneddy na Robert F. keneddy ni mtu na kaka yake sasa huyu Robert F. keneddy Jr.ni mtoto wa Robert so anamwita rais John keneddy baba mkubwa kwahiyo azam kusema mtoto wa rais keneddy ni sawa maana mtoto wa kaka yako pia ni mwanao anakuita baba..
 
Huyo mleta mada ni mshamba tena poyoyo asiyejuwa utamaduni wa Kitanzania.
 
Wanakurupuka sana na yule wa Binocular ya Waziri nae the same anakurupuka bila kujiuliza mara 3
 
Azam media🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…