Juzi nimemsikia mtangazaji akisoma taarifa ya habari radio wasafi akitamka ugonjwa wa Mpox akisema mpoksi kama ilivyo kwa kweli nilijisikia vibaya halafu si kama alikosea maana alirudia mara tatuMim nimsikilizaj mzur sana wa redio,nshagundua watangazaj wengi wa sasa hawajui kabisa vitu vingi hasa hasa vinavyohusiana na siasa,hesabu,jiografia na mambo mengi ya kisayansi
Nilishangaa siku moja kusikia Millard ayo hajui kama mimea ni kiumbe hai
Huyo mleta mada ni mshamba tena poyoyo asiyejuwa utamaduni wa Kitanzania.mkuu ww ndio mjinga sio hao azam..mbona azam wapo sahihi tu rais John F.keneddy na Robert F. keneddy ni mtu na kaka yake sasa huyu Robert F. keneddy Jr.ni mtoto wa Robert so anamwita rais John keneddy baba mkubwa kwahiyo azam kusema mtoto wa rais keneddy ni sawa maana mtoto wa kaka yako pia ni mwanao anakuita baba..
Umeumbuka vibaya Wewe km yule mwenzio wa Binocular, mtoto wa kaka yako anakuitaje km sio Baba?Hawa mada zao kuu lazima ziwe Yanga na Simba.
Kwa hiyo wewe kujua tu hili jepesi la historia una akili!Robert ni Mpwa wa John F Kenn3dy Raisi wa zamani wa Marekani n wala sio mtoto wake,
Wanakurupuka sana na yule wa Binocular ya Waziri nae the same anakurupuka bila kujiuliza mara 3mkuu ww ndio mjinga sio hao azam..mbona azam wapo sahihi tu rais John F.keneddy na Robert F. keneddy ni mtu na kaka yake sasa huyu Robert F. keneddy Jr.ni mtoto wa Robert so anamwita rais John keneddy baba mkubwa kwahiyo azam kusema mtoto wa rais keneddy ni sawa maana mtoto wa kaka yako pia ni mwanao anakuita baba..
Azam mediaπ€£π€£π€£π€£Asilimia 99.8 ya Watangazaji wa hizi media za sasa ni weupe sana vichwani, wao mada wanazo zijua ni za kusifia na kuabudu na pia Mada za Yanga na Simba. Nje ya Mada za Yanga na Simba na Mada za kusifia hawa watangazaji ni weupe sana vichwani na sijui wanapatikana vipi.
View attachment 3078091
Media zimejaa vipindi vya kijinga na sababu ni kuwa na Watangazaji weupe sana kichwani.
View attachment 3078086
Angali walivyo weupe.
View attachment 3078087
Hawa mada zao kuu lazima ziwe Yanga na Simba.
Wapo sahihi huyo ni Mtoto wa kaka wa JFK anafahamika km RFK Senior huyo ni RFK JuniorAzam mediaπ€£π€£π€£π€£
Hayupo sahihi Jamaa kakurupukaKwa hiyo wewe kujua tu hili jepesi la historia una akili!
Yaani kujua persinal issues za watu ndiyo akili.
Bora ungewaita WAVIVU WA KUCHUNGUZA.
Wewe rafiki zako wanakuita "mwanangu" ina maana hao wote wametembea na mama'ko au baba zako?Robert ni Mpwa wa John F Kenn3dy Raisi wa zamani wa Marekani n wala sio mtoto wake,
Engineer shikamoo! Wasalimie sana watu wa DarKwani imekuajeee? Ko huyo Robert ni nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Taifa limejaa wajingaWanakurupuka sana na yule wa Binocular ya Waziri nae the same anakurupuka bila kujiuliza mara 3
Robert ni Mpwa wa John F Kenn3dy Raisi wa zamani wa Marekani n wala sio mtoto wake,
Prof Ndumilakuwili ππππView attachment 3078112
Hii ni maajabu
Mbona hana masikio?π€
Kumbeee??!!Robert ni Mpwa wa John F Kenn3dy Raisi wa zamani wa Marekani n wala sio mtoto wake,
Ko huyu wa leo, yule rais aliyepigwa risasi ni baba ake mkubwaa?Ni Mtoto wa Robert F Kennedy ambaye alikuwa mdogo wake na Rais John F Kennedy wa Marekani na wote hao mtu na mdogo wake waliuliwa kwa kupigwa risasi.
Afu bibi sometimes unakuwa miyeyusho sanaπWewe rafiki zako wanakuita "mwanangu" ina maana hao wote wametembea na mama'ko au baba zako?