Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Unashangaa nini wakati Ayo form 4 alikula div 4 ya Mwisho MwishoNilishangaa siku moja kusikia Millard ayo hajui kama mimea ni kiumbe hai
Mwambie Mjomba ni Mama Ila hanyonyeshi sababu hana matitiHawakukosea, labda ni lugha tu inakupiga chenga. Mimi sijawasikia walichokiongea. Nijuwavyo huyo ni mpwa wa John F. Kennedy. Kiswahili "mpwa" au mtoto wa dada'ko au kaka'ko ni mtoto wako ingawa siyo mwanao.
... ana followers kibao hayo mengine sio ya muhimu kwake.Mim nimsikilizaj mzur sana wa redio,nshagundua watangazaj wengi wa sasa hawajui kabisa vitu vingi hasa hasa vinavyohusiana na siasa,hesabu,jiografia na mambo mengi ya kisayansi
Nilishangaa siku moja kusikia Millard ayo hajui kama mimea ni kiumbe hai
Duuh!Nilishangaa siku moja kusikia Millard ayo hajui kama mimea ni kiumbe hai
Japo ni kweli media ya Tanzania tuna tatizo la umahiri, lakini sio kweli waandishi wa habari na Watangazaji mahiri ni asilimia 2% tuu halafu asilimia 98 ni vilaza!.Asilimia 99.8 ya Watangazaji wa hizi media za sasa ni weupe sana vichwani, wao mada wanazo zijua ni za kusifia na kuabudu na pia Mada za Yanga na Simba. Nje ya Mada za Yanga na Simba na Mada za kusifia hawa watangazaji ni weupe sana vichwani na sijui wanapatikana vipi.
Media zimejaa vipindi vya kijinga na sababu ni kuwa na Watangazaji weupe sana kichwani.
Hawa mada zao kuu lazima ziwe Yanga na Simba.
Hiki wala sio kipimo sahihi cha uwezo wao mbona waandishi marekani hawamjui Makongoro Nyerere π€£π€£.Robert ni Mpwa wa John F Kenn3dy Raisi wa zamani wa Marekani n wala sio mtoto wake,
Wamjue ili iweje π€ sio ajabu hata hawajui Raisi wa Tanzania ni nani wao matajiri watafute habari za nchi maskini kama Tanzania za nini π€Hiki wala sio kipimo sahihi cha uwezo wao mbona waandishi marekani hawamjui Makongoro Nyerere π€£π€£.
Hawaijui hata TZ kama ninchi π€£π€£ msijione wasomi kwakujua wasiowahusu!!
Robert Francis Kennedy jr(dogo) alizaliwa 1954 baba yake Robert Francis Kennedy sr. ni tofauti na John Fitzgerad Kennedy aliyewahi kuwa rais mdogo kuliko wote, sijui uhusiano umeutoa wapi.Asilimia 99.8 ya Watangazaji wa hizi media za sasa ni weupe sana vichwani, wao mada wanazo zijua ni za kusifia na kuabudu na pia Mada za Yanga na Simba. Nje ya Mada za Yanga na Simba na Mada za kusifia hawa watangazaji ni weupe sana vichwani na sijui wanapatikana vipi.
Media zimejaa vipindi vya kijinga na sababu ni kuwa na Watangazaji weupe sana kichwani.
Angali walivyo weupe.
Hawa mada zao kuu lazima ziwe Yanga na Simba.
====
View attachment 3078124
Mtoto wa Rais wa zamani wa Marekani, John F Kennedy ametangaza kumuunga mkono mgombea urais wa nchi hiyo kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Trump.
Robert F Kennedy Jr ambaye alikuwa mgombea huru wa Urais ametangaza uamuzi huo kwenye mkutano wa hadhara Trump uliofanyika Arizona na kusema ataomba kuondolewa kwa jina lake miongoni mwa wagombea wa Urais.
Kennedy ambaye kwa muda mrefu wa maisha yake amekuwa mwanachama wa Democrat kilichomfanya kuondoka kwenye chama hicho ndicho kilichomsukuma kumuunga mkono rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump.
Donald Trump amempongeza Kennedy mwenye miaka 70 kwa uamuzi huo aliouita βwa kipeeβ na kumkaribisha kwenye kampeni zake.
Mpinzani mkubwa wa Trump kwenye uchaguzi wa Marekani, Kamala Harris amenukuliwa akisema βatajaribu kupata kura za waliokuwa wanamuunga mkono Kennedyβ.
Uko sahihi kabisa !Ni Mtoto wa Robert F Kennedy ambaye alikuwa mdogo wake na Rais John F Kennedy wa Marekani na wote hao mtu na mdogo wake waliuliwa kwa kupigwa risasi.
Mpwa anabakia kuwa mpwa. Mtoto anabakia kuwa mtoto.. kama media imetangaza ni mtoto wa J.F. Kennedy hilo ni kosa kubwa. Kwani wangesema mpwa wangepungukiwa nin?? Tatizo hawajui hilo.Huyo mleta mada ni mshamba tena poyoyo asiyejuwa utamaduni wa Kitanzania.
Uko sahihi kabisa !
Yeye anaitwa Robert Kennedy junior !
Robert Francis Kennedy(RFK)Uko sahihi kabisa !
Yeye anaitwa Robert Kennedy junior !
Sio chura anahutubia mbwa?Pepe and Dog
Sasa nMim nimsikilizaj mzur sana wa redio,nshagundua watangazaj wengi wa sasa hawajui kabisa vitu vingi hasa hasa vinavyohusiana na siasa,hesabu,jiografia na mambo mengi ya kisayansi
Nilishangaa siku moja kusikia Millard ayo hajui kama mimea ni kiumbe hai
Ukiacha madereva, mapolice manesi pia watangazaji na waandishi wa habari wengi walifeli form 4 hayo ndio matokeo yake.Mim nimsikilizaj mzur sana wa redio,nshagundua watangazaj wengi wa sasa hawajui kabisa vitu vingi hasa hasa vinavyohusiana na siasa,hesabu,jiografia na mambo mengi ya kisayansi
Nilishangaa siku moja kusikia Millard ayo hajui kama mimea ni kiumbe hai
Ni ndugu kabisaRobert Francis Kennedy(RFK)
John Fitzgerad Kennedy(JFK)
Hawa si ndugu.
mkuu ww ndio mjinga sio hao azam..mbona azam wapo sahihi tu rais John F.keneddy na Robert F. keneddy ni mtu na kaka yake sasa huyu Robert F. keneddy Jr.ni mtoto wa Robert so anamwita rais John keneddy baba mkubwa kwahiyo azam kusema mtoto wa rais keneddy ni sawa maana mtoto wa kaka yako pia ni mwanao anakuita baba..
Usitupotezee muda hapa. "Google" ipo nenda kawasome upya.Robert Francis Kennedy(RFK)
John Fitzgerad Kennedy(JFK)
Hawa si ndugu.
Kwani Mpwa hawezi kuwa mtoto wake mbona Rais watu wanamuita mamaRobert ni Mpwa wa John F Kenn3dy Raisi wa zamani wa Marekani n wala sio mtoto wake,