Sasa sisi wazungu?Kila dini au kabila au taifa wana kalenda yao.
Ila kalenda ya mzungu ambayo inasema kuwa Jumapili ndio siku ya saba ya wiki na Juma tatu kuwa siku ya kwanza ya wiki is 'the most accurate calendar'.
Kwa hiyo ni vyema sote tufuate kalenda ya mzungu na kuachana na hizo kalenda nyingine zenye mapungufu.
Kama ni mkristo unapaswa usishereheke pasaka maana unajua fika sikukuu ya pasaka usherehekewa siku ya kwanza ya juma mara baada ya siku ya saba ambayo ni jumamosi.Kila dini au kabila au taifa wana kalenda yao.
Ila kalenda ya mzungu ambayo inasema kuwa Jumapili ndio siku ya saba ya wiki na Juma tatu kuwa siku ya kwanza ya wiki is 'the most accurate calendar'.
Kwa hiyo ni vyema sote tufuate kalenda ya mzungu na kuachana na hizo kalenda nyingine zenye mapungufu.
Vingapi vya mzungu unavyovitumia?Sasa sisi wazungu?
Yeah. Kwa kalenda ya Wayahudi.Kama ni mkristo unapaswa usishereheke pasaka maana unajua fika sikukuu ya pasaka usherehekewa siku ya kwanza ya juma mara baada ya siku ya saba ambayo ni jumamosi.
Kama ni bora kuishi endelea...
Kwani wasabato wenyewe wanasemaje?Huwa nafuatilia sana kipindi chenu cha watoto shanghai. Leo asubuhi nikamsikia host wa Kipindi akiwaamanisha watoto kuwa Saturday is the last day of the week and Sunday is the first day of the week and Monday being the second.
That's cheating and not teaching.Waombeni radhi watoto wetu.
Yah ......Jumapili ni siku ya kwanza katika wiki.How about this one !! 'The Sunday is the first day of the week whereas Monday is the first day of the working week. Internationally' !!
Ahhh,Mimi kwangu first day ni Monday.Inategemea una status gani duniani, Jobless kila siku ni sawa.
Juma - tatu ,au huoni hiyo tatu?Umeiona tatu kwenye monday?
Monday is the first day of the week and not otherwise
hivi ww ulisoma wapi,ina maana hujui Sunday is the first day of the week?
Kwani kwenye calendars siku zimepangwaje?
Huwa nafuatilia sana kipindi chenu cha watoto shanghai. Leo asubuhi nikamsikia host wa Kipindi akiwaamanisha watoto kuwa Saturday is the last day of the week and Sunday is the first day of the week and Monday being the second.
That's cheating and not teaching.Waombeni radhi watoto wetu.
Ahhh,Mimi kwangu first day ni Monday.
Hujui unazunguka tu, hayo mambo huwezi kuzunguka hivyo sijui ceremonial sijui Israel, all in all jumapili is first day of the week, ipo hivyo mdogo wanguYeah. Kwa kalenda ya Wayahudi.
Ndio maan kuna kalenda ya wachina ambao mwska wao mpya unanza mwezi tofauti na kalenda ya wazungu.
Kwa Dunia ya sasa hizi kalenda nyingine zinatumika ceremonial...
Ni sahihi jumapili kuwa siku ya Kwanza..Huwa nafuatilia sana kipindi chenu cha watoto shanghai. Leo asubuhi nikamsikia host wa Kipindi akiwaamanisha watoto kuwa Saturday is the last day of the week and Sunday is the first day of the week and Monday being the second.
That's cheating and not teaching.Waombeni radhi watoto wetu.
Hujui unazunguka tu, hayo mambo huwezi kuzunguka hivyo sijui ceremonial sijui Israel, all in all jumapili is first day of the week, ipo hivyo mdogo wangu
Ni sawa kwa mujibu wa imani yako....lakini kwenye biblia iliandikwa tu kuwa Mungu alipumzika siku ya Saba na wala hakusema ilikuwa Jumamosi...Ni sahihi jumapili kuwa siku ya Kwanza..
Nyuma/jana yake ambayo ni jumamosi ni sabato ambayo ni siku ya saba,kiimani ndy siku ambayo MUNGU alipumzika baada ya kufanya kazi ya uumbaji Kwa siku sita
Pia biblia inaandika Yesu alizikwa siku ya sita jioni(ijumaa) ili wayahudi waiwahi sabato(jumamosi) ambayo kwao hairuhusiwi kufanya kazi yoyote siku hiyo..mwilinww Yesu ukakaa kaburini siku tatu,kuanzia ijumaa jioni,jumamosi kisha jumapili (ambapo biblia imeandika siku ya Kwanza ya Juma) ndiyo akafufuka
Sorry maelezo mengine ya bibblia hayahusiki Ila nimeyatumia ili kuleta taswira ya kile tunachokijadili
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Elimika ndugu yangu!Kila dini au kabila au taifa wana kalenda yao.
Ila kalenda ya mzungu ambayo inasema kuwa Jumapili ndio siku ya saba ya wiki na Juma tatu kuwa siku ya kwanza ya wiki is 'the most accurate calendar'.
Kwa hiyo ni vyema sote tufuate kalenda ya mzungu na kuachana na hizo kalenda nyingine zenye mapungufu.