Azam TV, mnawadanganya watoto kuwa First day of the week ni Sunday Seriously?

Azam TV, mnawadanganya watoto kuwa First day of the week ni Sunday Seriously?

Ni sawa kwa mujibu wa imani yako....lakini kwenye biblia iliandikwa tu kuwa Mungu alipumzika siku ya Saba na wala hakusema ilikuwa Jumamosi...
Siku ya saba ndiyo sabato ya bwana..
Biblia imeandika siku ya saba ya Juma ni jumamosi,hata mtume Muhammad alikuta wayahudi wakiabudu siku ya saba pale makka ambayo ni jumamosi

Nikuletee mistari?
 
Kwa sisi waswahili siku ya kwanza ya juma (week) ni Juma-mosi, maana kwa kiswahili mosi ni moja/kwanza...hizo kalenda za wazungu fuateni ninyi

Waswahili hawana Kalenda,
Labda uwe umeibuni wewe.
Kalenda ambayo hata kwenye simu yako au unayotumia wewe ni Gregorian calendar ambayo ni Kalenda ya Wazungu/Warumi.

Nayo inaeleza kuwa Sunday ni siku ya Kwanza
Kalenda ya kiislam nayo inaonyesha Sunday ni siku ya Kwanza.

Sasa hiyo Kalenda unayoitumia wewe sijui ya wapi?
Ili utuambie Leo ni tarehe ngapi, mwezi gani, na mwaka gani?
 
Waswahili hawana Kalenda,
Labda uwe umeibuni wewe.
Kalenda ambayo hata kwenye simu yako au unayotumia wewe ni Gregorian calendar ambayo ni Kalenda ya Wazungu/Warumi.

Nayo inaeleza kuwa Sunday ni siku ya Kwanza
Kalenda ya kiislam nayo inaonyesha Sunday ni siku ya Kwanza.

Sasa hiyo Kalenda unayoitumia wewe sijui ya wapi?
Ili utuambie Leo ni tarehe ngapi, mwezi gani, na mwaka gani?
Kalenda yetu sis waswahili haina tarehe tuna siku katika juma ambayo leo ni siku ya tatu ya juma na tunaiita Jumatatu!
 
Hakuna proves yeyote kuwa hii iwe siku ya kwanza au ya pili imeturahisishia kuelewa na kazi zetu ziende hata hayo majina ya jumamosi mara tano ni hivyo hivyo..
 
Siku ya saba ndiyo sabato ya bwana..
Biblia imeandika siku ya saba ya Juma ni jumamosi,hata mtume Muhammad alikuta wayahudi wakiabudu siku ya saba pale makka ambayo ni jumamosi

Nikuletee mistari?
Hapana siitaji mistari mkuu...ila ninachojua ni kuwa huyo Muhammad hakuwahi kukubali ibada za mayahudi maana aliziona ni za kikafiri...
 
Mkuu
Waswahili hawana Kalenda,
Labda uwe umeibuni wewe.
Kalenda ambayo hata kwenye simu yako au unayotumia wewe ni Gregorian calendar ambayo ni Kalenda ya Wazungu/Warumi.

Nayo inaeleza kuwa Sunday ni siku ya Kwanza
Kalenda ya kiislam nayo inaonyesha Sunday ni siku ya Kwanza.

Sasa hiyo Kalenda unayoitumia wewe sijui ya wapi?
Ili utuambie Leo ni tarehe ngapi, mwezi gani, na mwaka gani?
asante ila mimi natumia Julian calendar ambayo haina tarehe ila inahesabu siku zilivyo katika mwaka!
 
Kalenda yetu sis waswahili haina tarehe tuna siku katika juma ambayo leo ni siku ya tatu ya juma na tunaiita Jumatatu!

Waswahili hawana Kalenda Acha kubisha vitu usivyovijua, Sisi tunatumia Kalenda za watu aidha Kalenda ya kizungu au ya kiislam.

Kama unabisha embu tuambie Kalenda ya Waswahili inamiezi mingapi Kwa mwaka?
Je mwezi unasiku ngapi?
Week inasiku ngapi?

Haya leo ni tarehe ngapi Kwa mujibu wa Kalenda ya Kiswahili?

Mambo mengine unapaswa uombe kufundishwa ili iwe faida hata utakapokaa na watoto wako.
 
Waswahili hawana Kalenda Acha kubisha vitu usivyovijua, Sisi tunatumia Kalenda za watu aidha Kalenda ya kizungu au ya kiislam.

Kama unabisha embu tuambie Kalenda ya Waswahili inamiezi mingapi Kwa mwaka?
Je mwezi unasiku ngapi?
Week inasiku ngapi?

Haya leo ni tarehe ngapi Kwa mujibu wa Kalenda ya Kiswahili?

Mambo mengine unapaswa uombe kufundishwa ili iwe faida hata utakapokaa na watoto wako.
Sihitaji kufundishwa chochote mkuu naamini ninachokiamini, usinilazimishe niamini unachoamini kama nilivyokuambia hapo awali kalenda yetu sisi haina tarehe ni kama ile yaJulian, leo sisi waswahili tunasema ni siku ya 248 ya mwaka 2022!
 
Mkuu

asante ila mimi natumia Julian calendar ambayo haina tarehe ila inahesabu siku zilivyo katika mwaka!

Kwa hiyo Waswahili wanatumia Julian Calendar?

Tuachane na hayo,
Tuambie tupo mwezi gani na Leo ni tarehe ngapi na mwaka gani Kwa mujibu wa Julian Calendar?

Kwa wiki Juliani Kalenda kuna siku ngapi? Na jina la siku ya leo?
 
Kwa hiyo Waswahili wanatumia Julian Calendar?

Tuachane na hayo,
Tuambie tupo mwezi gani na Leo ni tarehe ngapi na mwaka gani Kwa mujibu wa Julian Calendar?

Kwa wiki Juliani Kalenda kuna siku ngapi? Na jina la siku ya leo?
Sijui kuhusu Julian kalenda nitakujibu kuhusu waswahili...hapana waswahili hawatumii kalenda ya Julian ila namna tunavyohesabu masiku ni sawa na kalenda ya Julian. Kuhusu leo tarehe ngapi nilikuambia sisi hatuna tarehe ila una siku na leo ni siku 248 y mwaka wa 2022, na leo ni Juma tatu yaani siku ya tatu ya Juma
 
Sihitaji kufundishwa chochote mkuu naamini ninachokiamini, usinilazimishe niamini unachoamini kama nilivyokuambia hapo awali kalenda yetu sisi haina tarehe ni kama ile yaJulian, leo sisi waswahili tunasema ni siku ya 248 ya mwaka 2022!

Huo mwaka 2022 umeupataje?

Acha ubishi usio na maana,
Waswahili hawana Kalenda, wanatumia Kalenda za watu wengine.

Hapo juu Umesema Wewe unatumia Julian Calendar alafu muda huohuo unasema unaamini, hivi unajua unachokieleza.

Sitaki uamini ninachoamini. Na hatupo hapa kuaminishana.
Elimu ya Kalenda ni Taaluma sio mambo ya kuaminishana
 
Sijui kuhusu Julian kalenda nitakujibu kuhusu waswahili...hapana waswahili hawatumii kalenda ya Julian ila namna tunavyohesabu masiku ni sawa na kalenda ya Julian. Kuhusu leo tarehe ngapi nilikuambia sisi hatuna tarehe ila una siku na leo ni siku 248 y mwaka wa 2022, na leo ni Juma tatu yaani siku ya tatu ya Juma

Huo mwaka umeupataje kulingana na Kalenda yenu Waswahili?
Maana 2022 ni Kalenda ya Gregory.
 
Saturday is the last day of the week and Sunday is the first day of the week and Monday being the second.
Kuna convention nyingi mzee. Tanzania inafuata mifumo miwili kwa wakati mmoja, mfumo wa kwanza ni kama ule wa Saud Arabia, yaani Jumamosi (J1) i.e. Saturday ni siku ya kwanza katika wiki. Wa pili ni kama wa Uingereza yaani Jumapili ni siku ya kwanza. NB: Mosi maana yake moja.
 
Sijui kuhusu Julian kalenda nitakujibu kuhusu waswahili...hapana waswahili hawatumii kalenda ya Julian ila namna tunavyohesabu masiku ni sawa na kalenda ya Julian. Kuhusu leo tarehe ngapi nilikuambia sisi hatuna tarehe ila una siku na leo ni siku 248 y mwaka wa 2022, na leo ni Juma tatu yaani siku ya tatu ya Juma

Kwa hiyo Julian calendar kuna jumatatu 😀😀
Kwa siku ya 248 Kama ulivyosema ndio inaitwaje kulingana na Kalenda ya Kiswahili au Julian Calendar?

Unajua hata maana ya tarehe?
Tarehe lazima iwe na Siku, mwezi na mwaka.
Ukisema siku ya 248 utaulizwa mwezi gani?

Ukishasema Juma unamaanisha Week sijui kama unaelewa?
Ukishasema Week unamaanisha Fungu la siku kadhaa zinaweza kuwa Saba au nane kulingana na Kalenda.
Week ni Robo ya mwezi( yaani siku 28 za mwezi) sijui Kama unaelewa.

Miezi inaunda Msimu (seasonal) kikawaida msimu mmoja unabeba miezi mitatu ambao ni Robo ya mwaka, sijui kama unaelewa. Misimu ndio inaunda Mwaka. Yaani muunganiko wa miezi.

Mwezi na Jua ndivyo vinavyotumika kuratibu Kalenda. Ndio maana kuna Lunar Calendar na solar Calendar, na Solar-Lunar Calendar.

Kitu Kama hujui sema uelezewe
 
Hakuna siku ya kwanza wala ya mwisho ya wiki, inategemea umeanzia wapi kuhesabu. Thats it.
 
Back
Top Bottom